financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Baada ya chuo kazini umebakiwa na sifa gani? Nunda na utoro?😀mimi zilikuwa zinabadiika
primary.. nilikua kwanza mtundu , mpenda soka halafu joni kisomo sana
secondary ....mtundu, joni kisomo, kwa mbaali nikaanza mapenzi
advance,, joni kisomo, nunda back bencher , nilikua mgumu kwa hiyo mapenzi niliweka kando maana ilikua uboyzin
chuo.,joni kisomo, mapenzi , back benchers, utoro