Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,123
- 2,449
Ilalaaaaaaaaa...inaumaYap ni kweli chidbeenz anapita kwenyeckila mdundo kuna ngoma mpya ya singeli ya manifongo kashirikishwa humo ni hatari....wala hata hakuandika naskia alipiga freestyle tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilalaaaaaaaaa...inaumaYap ni kweli chidbeenz anapita kwenyeckila mdundo kuna ngoma mpya ya singeli ya manifongo kashirikishwa humo ni hatari....wala hata hakuandika naskia alipiga freestyle tu.
Mwambie akabidhu hayo mambi kwa teja wetu wa taifaChid Flow ni noma ila Ngosha anaandika Kiswahili fasaha na ana punch lines though muda mwingine anazitoa kwenye vitabu vya Malenga wetu, Sikiliza wimbo wa Hao wa Mwasiti au Bongofleva aliomshirikisha Mzee Yusuph
Yap ni kweli chidbeenz anapita kwenye kila mdundo kuna ngoma mpya ya singeli ya manifongo kashirikishwa humo ni hatari....wala hata hakuandika naskia alipiga freestyle tu.