Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Enzi za uhai wake angesema.....Hiiiiii!
Maweee!
Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta.
Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine ya wananchi.
Lazima wakubali kufata sheria za nchi na walipe kodi kama ambavyo wengine anafanya.
Mbona enzi za Dr Magufuli pamoja na Task Force nyingi zilizokuwepo hawakujaribu kuchezea uchumi wa nchi?
Uhuru uliopo wasiotumie vibaya wakajikuta wana jeorpadize Ustawi wa Biashara Nchini.
PIA SOMA
- Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
Maweee!
Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta.
Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine ya wananchi.
Lazima wakubali kufata sheria za nchi na walipe kodi kama ambavyo wengine anafanya.
Mbona enzi za Dr Magufuli pamoja na Task Force nyingi zilizokuwepo hawakujaribu kuchezea uchumi wa nchi?
Uhuru uliopo wasiotumie vibaya wakajikuta wana jeorpadize Ustawi wa Biashara Nchini.
PIA SOMA
- Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024
- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'