Enzi za Hayati Magufuli Wafanyabiashara wasingejaribu kugoma. Imekuwaje leo?

Enzi za Hayati Magufuli Wafanyabiashara wasingejaribu kugoma. Imekuwaje leo?

Wachache sana wenye uelewa kama wako. Sasa hivi biashara halali xinakufa zinabaki za magendo. Wale walionyooka watafunga biashara kwasababu magendo mengi ukiuza kwa bei ya kiwandani huwezi toboa. Ni either ununue za magendo uuze in cheap au ufunge biashara. Kipindi cha Magufuli wale wafanyabiashara walionyooka ndo walio make zaidi na wapo imara sana. Ila wale wa magumashi walipoteana. So si kweli kuwa wengi walikimbia biashara. Ila wengi walikuwa wakwepa kodi na janja janja nyingi isiyo fuata misingi ya biashara lazima wapoteane. Na ndiyo maana enzi za mwendazake hukukuta watu wakigoma. Watoza kodi walitoza kodi halali hakuna kuoneana. Ndo maana ukimya ulikuwa mwingi. Ila sasa kubambikiana ni kwingi mno. Ndo maana wanagoma.
Is this true?
 
Enzi za uhai wake angesema.....Hiiiiii!

Maweee!

Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta.

Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine ya wananchi.

Lazima wakubali kufata sheria za nchi na walipe kodi kama ambavyo wengine anafanya.

Mbona enzi za Dr Magufuli pamoja na Task Force nyingi zilizokuwepo hawakujaribu kuchezea uchumi wa nchi?

Uhuru uliopo wasiotumie vibaya wakajikuta wana jeorpadize Ustawi wa Biashara Nchini.

PIA SOMA
- Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024

- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
Ndiyo maana hilo Dubwasha la Chato lilikufa kwa DHULUMA zake na chuki dhidi ya matajiri
 
Enzi za uhai wake angesema.....Hiiiiii!

Maweee!

Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta.

Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine ya wananchi.

Lazima wakubali kufata sheria za nchi na walipe kodi kama ambavyo wengine anafanya.

Mbona enzi za Dr Magufuli pamoja na Task Force nyingi zilizokuwepo hawakujaribu kuchezea uchumi wa nchi?

Uhuru uliopo wasiotumie vibaya wakajikuta wana jeorpadize Ustawi wa Biashara Nchini.

PIA SOMA
- Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024

- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
Kugoma ni haki ya kikatiba.

Enzi za Magufuli haki nyingi za kikatiba zilivunjwa.
 
Enzi za uhai wake angesema.....Hiiiiii!

Maweee!

Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta.

Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine ya wananchi.

Lazima wakubali kufata sheria za nchi na walipe kodi kama ambavyo wengine anafanya.

Mbona enzi za Dr Magufuli pamoja na Task Force nyingi zilizokuwepo hawakujaribu kuchezea uchumi wa nchi?

Uhuru uliopo wasiotumie vibaya wakajikuta wana jeorpadize Ustawi wa Biashara Nchini.

PIA SOMA
- Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024

- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
Mama anawabembeleza,ndio maana unaona anampa shida sana RC Chalamila
Screenshot_20240624-153814.jpg


Mama anajua kwamba wanaomtukana ni Kwa sababu ya kuchekea watu kama hao wakwepa Kodi.

Mtumishi wa Umma anakatwa Mamilioni ya Kodi na hana pa kukwepea harafu yeye anawachea hao wafanyabiashara,imeniudhi sana.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/C8m0llftpj_/?igsh=cHlrN3U3YW15M2k0
 
Alivyokua mpenda sifa yule mzee angetimua maboss wengi sana ili jamii imuone ni mtu na nusu.

Usidhani yeye alikua haogopi migomo, wangegoma hamna kitu angeweza kufanya zaidi ya kubembeleza na kutoa chambo.
 
Yule mwamba alikuwa mtu wa haki wengi hawakumuelewa wanaanza kumuelewa sasa hivi! Wafanyabiashara walikuwa na hali na mori wa kulipa kodi kuliko wakati wowote! Hakuna mfanyabiashara alikuwa anakwepakodi! Walikuwa wanapeleka wenyewe na TRA ilikuwa inalipisha kodi stahiki na sio kanjanja kama sasa hivi Bi-kidawa kuruhusu watu wale kadri ya urefu wa kamba zao ndo mnavyoona wanapiga mpaka kukomoa
Hapana siyo kweli , mabavu yalikuwa yanatumika enzi zile task force ilikuwa kila kitu ,tuwe wakweli tulishane matango pori
Na ugomvi wao wa sasahivi ni kuhusu kuanza kwa task force
 
Enzi za uhai wake angesema.....Hiiiiii!

Maweee!

Yaani enzi za Jembe unajaribu kutingisha Sharubu za Mfalme? Ungejuta.

Wafanya biashara waache dharau wao sio muhimu sana kuzidi makundi mengine ya wananchi.

Lazima wakubali kufata sheria za nchi na walipe kodi kama ambavyo wengine anafanya.

Mbona enzi za Dr Magufuli pamoja na Task Force nyingi zilizokuwepo hawakujaribu kuchezea uchumi wa nchi?

Uhuru uliopo wasiotumie vibaya wakajikuta wana jeorpadize Ustawi wa Biashara Nchini.

PIA SOMA
- Mgomo wa Wafanyabiashara: Biashara zafungwa Kariakoo leo Juni 24, 2024

- MGOMO: Wafanyabiashara Kariakoo kufunga biashara zao kuanzia 24/6/2024 mpaka changamoto zao zitakapotatuliwa'
Mbona February 2016 waligoma hivihivi na Magufuli akiwepo?
 
Yule mwamba alikuwa mtu wa haki wengi hawakumuelewa wanaanza kumuelewa sasa hivi! Wafanyabiashara walikuwa na hali na mori wa kulipa kodi kuliko wakati wowote! Hakuna mfanyabiashara alikuwa anakwepakodi! Walikuwa wanapeleka wenyewe na TRA ilikuwa inalipisha kodi stahiki na sio kanjanja kama sasa hivi Bi-kidawa kuruhusu watu wale kadri ya urefu wa kamba zao ndo mnavyoona wanapiga mpaka kukomoa
Acha uwongo, wafanyabiashara wengine walifilisika na wengine walikimbia nchi. Biashara ilizorota sana.

Hakuna mfanyabiashara anayependa kulipa kodi ipasavyo ingawa siwalaumu Kwa hilo pengine wana sababu za msingi au ni ubinafsi
 
Back
Top Bottom