Enzi za Idd Amini zingekutana na John Magufuli Afrika Mashariki ingechangamka sana

Enzi za Idd Amini zingekutana na John Magufuli Afrika Mashariki ingechangamka sana

Aramun

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2023
Posts
461
Reaction score
2,213
Hawa wajomba wawili, wana sifa moja common ya kutokuwa na simile na mabwanyenye wa magharibi..

Laiti enzi za uongozi wao zingekutana kwa pamoja, naamini East Africa haingekuwa kama ilivyo sasa.

Shida kubwa waliyokumbana nayo wote wakati wanaongoza ni walikuwa hawakubaliki na nchi jirani wakati wa enzi zao.

 
Back
Top Bottom