Enzi za JK JWTZ iliwachapa vikali M23

Enzi za JK JWTZ iliwachapa vikali M23

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,385
Reaction score
10,659
Nilikua nachungulia pale Goma takribani wiki nzima. Nilipotembelea huko last year kwa mishe zangu, palikua pamekaa kimachale machale. Yaani unawaonea raia huruma mpk unatamani uuze hadi viatu uwaachie tu! Wacongo ni watu peace sana...wanatia huruma!

Kipindi cha JK hawa watz walikinukisha balaa. M23 walijaribu kila mbinu ila walichezea kichapo tata mpk wakakimbilia kwa bwana wao PK kujipoza na majeraha na kuzika fallen labels.

Sasa imekuwa ni kawaida Lebels kuvamia kambi za SADC na kuua askari, then wanajitetea kdg ila soon M23 wanarudi na kupora ardhi kama wanapigana na mgambo. What happened? Ok wana support ya West, lakini ndo tukae kinyonge?

Comeon brothers, hawa waasi wasitudharirishe.
 
JK ni mtaalamu kwenye jeshi
Me binafsi nampa heshima ya kutosha
Natamani arejee madarani awapige hao pua ndefu huko Congo
 
Congo ni fursa sana kwetu Tanzania kama Taifa .
Tungekuwa na akili watanzania tungeintaract nao vizuri zaidi na sisi tukafaidika na rasilimali zetu lakini
Sisi wote na wao ndo walewale.
 
Nilikua nachungulia pale Goma takribani wiki nzima. Nilipotembelea huko last year kwa mishe zangu, palikua pamekaa kimachale machale. Yaani unawaonea raia huruma mpk unatamani uuze hadi viatu uwaachie tu! Wacongo ni watu peace sana...wanatia huruma!

Kipindi cha JK hawa watz walikinukisha balaa. M23 walijaribu kila mbinu ila walichezea kichapo tata mpk wakakimbilia kwa bwana wao PK kujipoza na majeraha na kuzika fallen labels.

Sasa imekuwa ni kawaida Lebels kuvamia kambi za SADC na kuua askari, then wanajitetea kdg ila soon M23 wanarudi na kupora ardhi kama wanapigana na mgambo. What happened? Ok wana support ya West, lakini ndo tukae kinyonge?

Comeon brothers, hawa waasi wasitudharirishe.
Na sasa hivi JWTZ imepepeza bendela nyeupe ujue
 
Nilikua nachungulia pale Goma takribani wiki nzima. Nilipotembelea huko last year kwa mishe zangu, palikua pamekaa kimachale machale. Yaani unawaonea raia huruma mpk unatamani uuze hadi viatu uwaachie tu! Wacongo ni watu peace sana...wanatia huruma!

Kipindi cha JK hawa watz walikinukisha balaa. M23 walijaribu kila mbinu ila walichezea kichapo tata mpk wakakimbilia kwa bwana wao PK kujipoza na majeraha na kuzika fallen labels.

Sasa imekuwa ni kawaida Lebels kuvamia kambi za SADC na kuua askari, then wanajitetea kdg ila soon M23 wanarudi na kupora ardhi kama wanapigana na mgambo. What happened? Ok wana support ya West, lakini ndo tukae kinyonge?

Comeon brothers, hawa waasi wasitudharirishe.
wee unaambiwa wanajeshi wa wacongo man'm23 wana2mia mbinu ya ajabu sana,wanategesha miziki mizito porini[masbwoofer ya maana]ala wawekamiziki ya kina kofi olomide awilo longoma ,defao na wengine,,,sasa askari wa congo wakisikia hizo miziki wanaweka silaha chini na kuanza kucheza masebena,matokeo yake,,,,m23 wanawashambulia
 
Back
Top Bottom