kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Hahaha udhalimu huu unaoutaka hautafanikiwa kwenye nchi yetu, labda kwenu unguja.Naunga mkono hoja ya Spika, wapuuzi wamezidi Sana na niliwahi kuandika kwamba Serikali idhibiti uhuru wa kisenge maana ukizidi unakuwa upotoshaji na uzushi..
Tulia Ackson: Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameitaka Serikali kuanza kuchukua hatua wanaopotosha kwa kinachoendelea Ngorongoro zikiwemo taasisi,”sisi wabunge tunafahamu na wananchi wanafahamu tuko kwenye vita ya kiuchumi, tusiwaache wakaendelea kutumika. Muanze na huyu aliyerekodi hiyo clip."
Nape Nauye: Nimeagiza hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kila aliyehusika na KUENEZA UONGO KUWA TANESCO IMEPANDISHA BEI YA UMEME WAKATI WAKIJUA FIKA KUWA SIO KWELI. UTUNGAJI na EUNEZAJI wa Taarifa za Uongo kiasi hiki ni UCHOCHEZI wenye lengo la kujenga CHUKI dhidi ya Tanesco na Serikali.
Kuna tofauti wakati ule zilitumika kizalendo wakati huu wa mama zinatumika kifisadi kuwanufaisha mafisadi wanao dhulumu wanyongeKauli za "tupo katika vita ya kiuchumi", zilipelekea watu kutekwa na wengine kupotezwa na wengine kupigwa risasi 16.
Tulia inaelekea anataka kuturudisha hukohuko!
Hizo habari za umeme siyo uzushi ni zakweli kabisa chini ya kapeti ila kinacho wauma ni kuvuja hizo habari maana mama alisema majuzi kuhusu siri za serikali kuvujishwaIla aliezusha habari ya bei ya umeme huyo hata akikamatwa ni halali yake
People have to be accountable for their lies
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Tunapambana na mabeberu na vibaraka wao.Hiyo vita vya kiuchumi tunapambana na nani maana nchi tayari imeshafunguliwa.
Naunga mkono hoja ya Spika, wapuuzi wamezidi Sana na niliwahi kuandika kwamba Serikali idhibiti uhuru wa kisenge maana ukizidi unakuwa upotoshaji na uzushi..
Tulia Ackson: Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameitaka Serikali kuanza kuchukua hatua wanaopotosha kwa kinachoendelea Ngorongoro zikiwemo taasisi,”sisi wabunge tunafahamu na wananchi wanafahamu tuko kwenye vita ya kiuchumi, tusiwaache wakaendelea kutumika. Muanze na huyu aliyerekodi hiyo clip."
Nape Nauye: Nimeagiza hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kila aliyehusika na KUENEZA UONGO KUWA TANESCO IMEPANDISHA BEI YA UMEME WAKATI WAKIJUA FIKA KUWA SIO KWELI. UTUNGAJI na EUNEZAJI wa Taarifa za Uongo kiasi hiki ni UCHOCHEZI wenye lengo la kujenga CHUKI dhidi ya Tanesco na Serikali.
Nasubiri jibu na mimi
Huyu supika Ni masalia ya mwendazake na kwakuwa wenyewe walipewa Kinga ya kutoshitakiwa baaasi wanajiona wako Salama....Kauli za "tupo katika vita ya kiuchumi", zilipelekea watu kutekwa na wengine kupotezwa na wengine kupigwa risasi 16.
Tulia inaelekea anataka kuturudisha hukohuko!
Tulia Ackson: Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameitaka Serikali kuanza kuchukua hatua wanaopotosha kwa kinachoendelea Ngorongoro zikiwemo taasisi,”sisi wabunge tunafahamu na wananchi wanafahamu tuko kwenye vita ya kiuchumi, tusiwaache wakaendelea kutumika. Muanze na huyu aliyerekodi hiyo clip."
Nape Nauye: Nimeagiza hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa kila aliyehusika na KUENEZA UONGO KUWA TANESCO IMEPANDISHA BEI YA UMEME WAKATI WAKIJUA FIKA KUWA SIO KWELI. UTUNGAJI na EUNEZAJI wa Taarifa za Uongo kiasi hiki ni UCHOCHEZI wenye lengo la kujenga CHUKI dhidi ya Tanesco na Serikali.
mwili na sura yake vinajieleza tuHuyu njiti naye ni masalia ya yule dhalim aliyeko motoni sasa hivi, ana roho mbaya sana.
pole mkuu ukweli mchungu ila ndo dawa yapasa unywe ili uponeHata babako yupo motoni
Ccm hawana siasa za kishamba hizo..Na wana-Ccm wanaopotosha na kutukana viongozi wa vyama vya upinzani nao wachukuliwe hatua.
Ccm hawana siasa za kishamba hizo
Sasa utajibiwa kwa kichapo ndio utapata akili...Mtu anayepotosha anatakiwa ajibiwe kwa majibu ya ukweli na uhakika.
..Hii tisha-tisha ni ushamba wa Ccm na inaelekea hawana majibu kwa hoja zilizokuwa raised.
Ila aliezusha habari ya bei ya umeme huyo hata akikamatwa ni halali yake
People have to be accountable for their lies
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Sasa utajibiwa kwa kichapo ndio utapata akili.