james marco
JF-Expert Member
- Aug 2, 2017
- 208
- 167
hii nimefanya sana mwaka 2007 nikwa form fiveNa kumbuka chatting enzi za secondary school.
°Baby fungua mlango nakuja tulale[emoji188]
°Nimefungua njoo ndani Honey [emoji124]
°Nisogelee sweet na utoe nguo
°Baby funga macho nikukiss[emoji85]
°Nishafunga baby.
°Mwaaa...
Muda huo ni usiku, upo Musoma secondary na huyo mjinga mwenzio yupo Mbeya secondary.....
Nilipokua o level siku enjoy hivi vitu nikadhani high school havitokuepo so nimevikosahii nimefanya sana mwaka 2007 nikwa form five
Mkuu naona ulisikiliza ushauri wangu kuhusu Avatar yakoAiseee
[emoji23] aiseeHizo zitakuwa sekondari za kisasa, maana sisi enzi zetu ilikuwa barua zenye kopa kubwa yenye mkuki na maneno ya 'sili silali', 'nikinywa maji nakuona kwenye glass'
Old is gold, I miss those days![emoji1751]
Enzi za kuandikiana vikaratas na kutumiana kadi mashulen ila ole wake uyo mdada barua au kadi yake ishikwe. Mwaka 2007 enzi nasoma kidato cha 6 pale Azania masomo yang ya ECA basi nkawa natuma vikadi vya ujumbe wa mapenz kwa kidem chang kilichokua kinasoma kidato cha 5 pale Nganza Girls jijin Mwanza kikichukua masomo ya ECA bas ilikua ni rahaaaHizo zitakuwa sekondari za kisasa, maana sisi enzi zetu ilikuwa barua zenye kopa kubwa yenye mkuki na maneno ya 'sili silali', 'nikinywa maji nakuona kwenye glass'
Old is gold, I miss those days![emoji1751]
Ushauri gani?Mkuu naona ulisikiliza ushauri wangu kuhusu Avatar yako
Acha kabisa, enzi hizo ukiipata barua au kadi unaibusu kwanza mara mbili mbili, na unaisoma ukiwa sehemu tulivu ili kuvuta hisia katika maneno yaliyo kwenye hiyo barua/kadi.Enzi za kuandikiana vikaratas na kutumiana kadi mashulen ila ole wake uyo mdada barua au kadi yake ishikwe. Mwaka 2007 enzi nasoma kidato cha 6 pale Azania masomo yang ya ECA basi nkawa natuma vikadi vya ujumbe wa mapenz kwa kidem chang kilichokua kinasoma kidato cha 5 pale Nganza Girls jijin Mwanza kikichukua masomo ya ECA bas ilikua ni rahaaa
Acha kabisa, enzi hizo ukiipata barua au kadi unaibusu kwanza mara mbili mbili, na unaisoma ukiwa sehemu tulivu ili kuvuta hisia katika maneno yaliyo kwenye hiyo barua/kadi.
Hahahaaa umenikumbusha watu tulivyokuwa tunakaa attention na simu kusubiria muda ufike, maana ukichelewa tu kupata network ilikuwa issuekata wewe bhana...aaa kata wewe.....mmmm kata wewe bhana.......tigo mungu aliwaona sa tano usiku muda wa kulala watu wanaongea hadi kusimuliana movie
DEDICATION NYIMBO YA WEST LIFE MY LOVE , HAPO KUISIKILIZA NI MPAKA KIPINDI CHE MALOVEE NEXT WEEK REDIONI UKIIKOSA NDO BASI MPAKA IPITE WEEK TENA,.Hizo zitakuwa sekondari za kisasa, maana sisi enzi zetu ilikuwa barua zenye kopa kubwa yenye mkuki na maneno ya 'sili silali', 'nikinywa maji nakuona kwenye glass'
Old is gold, I miss those days![emoji1751]
Enzi za sasa mnaishi na simu mashuleni kipindi chetu ilikuwa barua na kadi za mapenzi. Mkiagana wakati likizo inaisha kuonana ni hadi likizo nyingine, ukitumiwa barua sikuhiyo unalala mapema ili uisome usiku chezea mapenzi ya wahengaNa kumbuka chatting enzi za secondary school.
°Baby fungua mlango nakuja tulale[emoji188]
°Nimefungua njoo ndani Honey [emoji124]
°Nisogelee sweet na utoe nguo
°Baby funga macho nikukiss[emoji85]
°Nishafunga baby.
°Mwaaa...
Muda huo ni usiku, upo Musoma secondary na huyo mjinga mwenzio yupo Mbeya secondary.....
Hizo zitakuwa sekondari za kisasa, maana sisi enzi zetu ilikuwa barua zenye kopa kubwa yenye mkuki na maneno ya 'sili silali', 'nikinywa maji nakuona kwenye glass'
Old is gold, I miss those days![emoji1751]