Emmanuel_Adam14
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 670
- 744
Nakumbuka enzi 2008 nipo form 2 ndio naijua jua shule nilicopy ile verse ya windo wa kidato kimoja J.I (huyu jama sijui yupo wapi siku hizi) mm niliandika kwa kingereza akaikamata teacher wa language kipindi hicho Madam Grace aliblow mapigo !!