ENZI ZA SECONDARY

Nakumbuka enzi 2008 nipo form 2 ndio naijua jua shule nilicopy ile verse ya windo wa kidato kimoja J.I (huyu jama sijui yupo wapi siku hizi) mm niliandika kwa kingereza akaikamata teacher wa language kipindi hicho Madam Grace aliblow mapigo !!
 
Hahahahaaa et kuna kidemu kikaanza kuniletea swaga hizi juzi nikakachana live sitaki ujinga huo.Kapo kagera mie namtumbo very childish
 
Duh Umenikumbuxha Mbal Kdgo Maana Huyo M2 Ambye 2likuwa 2kchat Nae Hvyo Xahv Hta Xalam Hakuna Hahahahahaha Ngoja Nicheke 2 Coz Inachekexha
 
Nilikua pugu pale napiga PCB m.a.m.a.e hata kuoga tu ilikua weekend to weekend nikidrop home ! Hayo mambo yalinipita kushoto
 
Acha kabisa, enzi hizo ukiipata barua au kadi unaibusu kwanza mara mbili mbili, na unaisoma ukiwa sehemu tulivu ili kuvuta hisia katika maneno yaliyo kwenye hiyo barua/kadi.
kwel zaman ni RAHA SANA
 
Ahahhahahah inanikumbusha mbali sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…