Unatoka chumba cha mtihani wa hesabu na unakuta magwiiji wa namba wanabishana.......
1: anasema jibu ni 3 na mwingne anasema jibu ni -3
Wakati wewe umepata jibu 41, 987.
Hapo ndio utaelewa kuwa mlemavu sio mpaka yule aliyekaa kwa WheelChair pekee yake..