Mi binafsi nakumbuka siku nilikula fimbo nzuuuuuuuuri kabisa huku naangalia pilipili zipo kwenye kisahan tayar kwa kuja kunisulubu,
Jaman balaa lote hilo kisa JENI, alaf jeni mwenyewe hata sijaambulia kitu na mpaka leo cjui yupo wapi. ....[emoji16][emoji16][emoji16]