donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
- #41
Akuna michezo niipendayo zaidi ya kombolela na kibaba tu,.. hivyo vitu vilinifanya kujua Papuchi nikiwa Darasa LA 5 tu
Raha ya kombolela ukajifiche na mtoto wa kike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akuna michezo niipendayo zaidi ya kombolela na kibaba tu,.. hivyo vitu vilinifanya kujua Papuchi nikiwa Darasa LA 5 tu
Humo humo mkuuKwenye nokia mkuu?
Juzi tu kuna mahali nilikuwa kuna dogo akawa anarekebisha mtego wake.....
Hahahaha....... bila kusahau baiskeli za miti
Swadakta kabisa, mtatafutwa mpaka mwisho watu wanachoka mnaachwa mnading'ana tuRaha ya kombolela ukajifiche na mtoto wa kike
Yap.Wa V mkuu?
Yap.
Swadakta kabisa, mtatafutwa mpaka mwisho watu wanachoka mnaachwa mnading'ana tu
Naomba kadi yako ya klinikiHahah! shem umenikalia kooni ila acha nikifiche kwenye kichaka cha jukwaa(Chit chat)
Umri wake una utata huyuWe mkorofi wewe!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aniambie tu la saba kamaliza efu mbili na kumi na ngapi ntafanya mahesabu mwenyeweMkuu jioshe tu waambie ukweli comrade[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wakati unacheza gemu la nyoka (snake xenzie)ilikua 2008 mwezi wa ngapi?Mkuu ukweli wa hili swala sio kabisa bora niyamalize kisanii[emoji23][emoji23]
Hahahahahha ila nimecheka khaaa eti tikiiichaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Rede ya wote tikichaaa kama hutaki sambaaa
Kama unatumia app unaclick tu comment yako,upande wako wa kulia juu kabisa baada ya kuclick comment uliyokosea utakutana na vidoti flani vitatu,click hapo utakutana na neno la kwanza kabisa "moderate" ukichagua hiyo moderate utakutana na edit na delete.Na hapo ndo unaweza kufanya chochote kulingana na machaguo na mahitaji yako.Ashindwae pia ni mume,.....tafadhali nielekeze Jolie Jolie
Aisee labda tuitazame kwa jicho la tatu theory of evolution...!Sarakasi pia nimeruka,kujinyonga nyonga na kujikunja nimefanya sana....nashangaa siku izi nimekua na mwili mzito viungo havijikunji kunji kama zamani
hahahaaaaaYaan angeniita mi ndo mtaalm wa hyo
Akikujibu unistue....Una miaka mingapi shemu?
Naomba kadi yako ya kliniki
Umri wake una utata huyu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Wakati unacheza gemu la nyoka (snake xenzie)ilikua 2008 mwezi wa ngapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati unacheza gemu la nyoka (snake xenzie)ilikua 2008 mwezi wa ngapi?