Enzi zetu Chitchat

Enzi zetu Chitchat

ladyfurahia

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
14,753
Reaction score
9,575
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaa wako wapi wale wa enzi zile za LEO TUPO HAPA PUB

wako wapi wale wa mastori mastori ya kutisha kama ya Mshanajr, Mentor (huyu kapotea mazima sijui ndo ka............) Mtambuzi , KakaKiiza

wako wale washadadiaji kwenye mauzi ya siasa, kama Katavi,

wako wapi wale wakiona kitu basi mlango wa saba utatambua kuwa wako hahahahhahaaaaaaaa
(siwataji wasijenifunga lokapu bure hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

wako wapi wale wanaokoment masaaa 24/7 akina miss chagga, Arushaone, PakaJimmy Lady doctor, charminglady, valentine, Heaven on Earth, MTAFITI, mwallu, Kipaji Halisi , figganigga


Wako wapi waanzisha nyuzi waliobobea yaani wakongwe sana hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
siwataji wataniweka kwenye kikaango cha baba mwamba haaaaaaaaaaaaaaa

Wasalaam
Ladyf
 
Kuna mtu humu kawa vampire... Kwa wale wanaoangalia movies za mavampire nadhani huwa mnaona kuwa mtu aliyeathiriwa na VAMPIRE akifa anafukiwa na akifufuka ndio anakuwa VAMPIRE

Sasa kuna mtu kafufuka... Na ana hasira kwa wadada wa jf... Nionavyo mimi
 
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaweraaaaaaaaaaaaaaa wako wapi wale wa enzi zile za LEO TUPO HAPA PUB

wako wapi wale wa mastori mastori ya kutisha kama ya Mshanajr, Mentor (huyu kapotea mazima sijui ndo ka............) Mtambuzi , KakaKiiza

wako wale washadadiaji kwenye mauzi ya siasa, kama Katavi,

wako wapi wale wakiona kitu basi mlango wa saba utatambua kuwa wako hahahahhahaaaaaaaa
(siwataji wasijenifunga lokapu bure hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

wako wapi wale wanaokoment masaaa 24/7 akina miss chagga, Arushaone, PakaJimmy Lady doctor, charminglady, valentine, Heaven on Earth, MTAFITI, mwallu, Kipaji Halisi , figganigga


Wako wapi waanzisha nyuzi waliobobea yaani wakongwe sana hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
siwataji wataniweka kwenye kikaango cha baba mwamba haaaaaaaaaaaaaaa

Wasalaam
Ladyf
Mentor hajapotea, yupo muda wote humu
 
Tupo tumeshawarithiii wengine wamekuwa wahenga hawawezi tena kutype wanapita kusoma tu hakika hongera kwa wahenga wote wa JF
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
 
Back
Top Bottom