HahahaHahahaha imebidi nicheke kwa sauti
Wajukuu endeleeni. Wakati wakusoma hadi utafute miwani[emoji13] [emoji13]
Ana kosea sana ku sajest nna ID mbili tena hadharani hapa
Watu huwa wana amini hizi ishu
Pia inakuwa ni kumkosea adabu mzee wa watu mwenye ID yake
She is wrong hapo
Haaa hongera asee
Wengine tumebaki wasomaji japo wengi wao wana ID mpya mnapambana nao bila wenyeww kujijua.Hahaha
Si mbaya your time is up
Mlisha itumikia vema jf nadhani ni muda wa kizazi kipya sasa[emoji1]
Amezingua kinoma noma yaan! Watu huwa wana amini, usione wanapita kimya kama hawaoni they see it.Dada umekosea jamani halafu yule Google na wewe tofauti haonekani chit chat wala mmu yupo jukwaa la tec
Amezingua kinoma noma yaan! Watu huwa wana amini, usione wanapita kimya kama hawaoni they see it.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]Uandishi wako na hasa hiyo 'weraaaaaaaweraaa' inaashiria unafanya kazi ya ususi..bakurututu brain!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wengine tumebaki wasomaji japo wengi wao wana ID mpya mnapambana nao bila wenyeww kujijua.
Good ilitakiwa ufanye annivesary sasa
The list usiwe unapotea tunakumiss jamaniUandishi wako na hasa hiyo 'weraaaaaaaweraaa' inaashiria unafanya kazi ya ususi..bakurututu brain!!
JamaniDada umekosea jamani halafu yule Google na wewe tofauti haonekani chit chat wala mmu yupo jukwaa la tec
Please kaka!!Ana kosea sana ku sajest nna ID mbili tena hadharani hapa
Watu huwa wana amini hizi ishu
Pia inakuwa ni kumkosea adabu mzee wa watu mwenye ID yake
She is wrong hapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uandishi wako na hasa hiyo 'weraaaaaaaweraaa' inaashiria unafanya kazi ya ususi..bakurututu brain!!
Nyasi zitajuta kuwafahamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani una force kina pele waendelee kucheza halafu wakutane na kina neymar...unategemea matokeo gani hapo??[emoji23] [emoji23]
Njoo jklw fastaaaaThe list usiwe unapotea tunakumiss jamani
HahahaSijui hata hiyo ID imekuwa vipi nikaikumbuka, long time sana kumsikia huyo mrembo.