Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mwendawazimuπ₯΄Alipita mwendawazimu mmoja aka like akaenda zake
Mkuu Asante sanaavon
Enzi izo unaitoa kiti Cha nyumaaNakumbuka Maza alikuwa mwalimu akanipa ya shule asee niwachakata sana kina manka .
Vijana wa Sasa hawazijui labda tuwa wekee pichaπHapo umepiga zako Jeans ya SAVCO na Shati la Juliana.
ππ
Itakushangaza wapo ambao hawajui kabisa kuendesha baiskeli π€π€Ile staili ya kupenda baiskeli unakanyaga pedel moja huku unaisukuma ikapata mwendo
Sijambo kabisa kaka.Marabaa mdogo,
Haujambo ?
Ilikua inaitwa kuendeshea mgamba,yani mguu unaupitisha katikati ya ile triangle ya Baiskeli coz ya ufupi wa muendeshaji.ππIle staili ya kupenda baiskeli unakanyaga pedel moja huku unaisukuma ikapata mwendo unarusha mguu wa pili kama unaruka teke huyoo unatoka speed. Vijana hawa wa sasa hivi sidhani kama wanaweza kuendesha hizo chuma
Sisi tuli ita kuendesha dobo...Ilikua inaitwa kuendeshea mgamba,yani mguu unaupitisha katikati ya ile triangle ya Baiskeli coz ya ufupi wa muendeshaji.ππ
Au ilikua Baiskeli ikichanganya Speed,unakua unanyonga zile pedals kwa kurudisha nyuma,basi ule mlio wa ile Bearing ya tairi la nyuma unajiona mjanja.Umenikumbusha enzi izo ukifika center una achia mikono watu wakuonee
Ujana una mambo mengi