Enzi zetu ni saa 18:30 ndo umerudi home!

mgonga,

Long time ago hiyooo

Hapo culture nishatoka kucheza ball na watoto wa K'nyama, nimerudi haraka kabla bi mkubwa hajarudi nakua nishachelewa, uzuri sikuwahi kupigwa zaidi ya kupewa wosia mreeeefu, lakini kesho kama kawa.
 
Sisi ilikua tunashindanishwa na kuku.
Ukirudi alafu ukakuta kuku wameshaingia bandani utamsikia mzee anasema kwa ukali "yani nyinyi na mabichwa makubwa mnazidiwa akili na hawa kuku na vichwa vyao vidogo".
Dah hamna kipindi nilichokua nawachukia kuku kama enzi zile
 
Nikizamia kweny rede na mcherereka uwiiiiiiiih nyumban natimba saa 1 usiku, kitim tim sasa na sikua nakoma.
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…