Hakuna anayejali
JF-Expert Member
- Jun 3, 2023
- 418
- 526
- Thread starter
- #21
Dah🙆
Ngono inauzwa kila Kona, maofisini wizara ni, bungeni, kwenye makampuni makubwa, migodini, taasisi za elimu ya juu,
Ni katika kutaka unachokitafuta, na huna pesa ya kulipia, hapo mtoto wa kike lazima ababuliwe!