Enzi zile wahudumu wa baa walikuwa wanahudumia tu vinywaji

Enzi zile wahudumu wa baa walikuwa wanahudumia tu vinywaji

Lakini sasa imekuwa tofauti sana wahudumu wengi wa baa hawauzi tu vinywaji bali wanauza miili yao wanafanya ngono kwa malipo ya pesa.sheria ya vileo inaruhusu hili kutendeka?nini kifanyike?
SAWA SHERIA IPO, ILA UTEKELEZAJI WAKE NI 0... Unaanzaje kudhibiti hilo? mtu kamuelewa "baamedi", baada ya kazi wakaenda kupatana kivyaovyao nje na eneo la kazi, utawazuia??
 
Hapana mkuu hauwezi kuwazuia.
unaona utekelezaji wa sheria ulivyo mgumu? Utawazuia hapo kwa hapo ndani ya eneo la kazi sawa, ila baada ya hapo je.. nje? Haiwezekani


Na ndio maana nawashangaa sana wanaotoa matamko ya kukomesha biashara ya ukahaba, binadamu ni kiumbe mgumu sana kumdhibiti
 
Biashara ya ngono ipo kila sehemu si bar tu hadi vyuoni, maofisini ni mtindo tu unaotumika ndo tofauti tofauti.
 
unaona utekelezaji wa sheria ulivyo mgumu? Utawazuia hapo kwa hapo ndani ya eneo la kazi sawa, ila baada ya hapo je.. nje? Haiwezekani


Na ndio maana nawashangaa sana wanaotoa matamko ya kukomesha biashara ya ukahaba, binadamu ni kiumbe mgumu sana kumdhibiti
Wale wanaotaka kukomesha ndo wanunuzi wazuri,, kipindi cha bunge pisi zote zinahamia dodoma! Ile kitu tuiache tu ilivyo
 
Unahasira sana,tukija tujadili namna ya kutokomeza mambo haya,unajuwa sheria ya vileo hairuhusu mtu kujiuza hapo?unavyochekelea hata mwanao atadondokea hapo.
Sheria gani unayoizungumzia mkuu,yaani unaamini nchi yetu inaendeshwa kisheria?,huoni kuwa royal families ndizo zinazochukua pie yote ya taifa na kuwafanya poor of the poorest kuishi kwa kutumia njia zinazodhalilisha utu wao?,pesa yote ingekusanywa vema kwenye mines zetu,jamii inayozunguka hizi mines zingekua na social services bora kabisa,lakini hili halifanyiki na tujiulize why DRC wanatumia bandari za mbali kwa mizigo yao na sio Dar?,jibu rahisi wateule wachache wamepinda sheria na kujinufaisha wao na sio nchi,yes Nina hasira mno hasa na mtu kama wewe unayejifanya hujui mateso ya lower class people's
 
Sheria gani unayoizungumzia mkuu,yaani unaamini nchi yetu inaendeshwa kisheria?,huoni kuwa royal families ndizo zinazochukua pie yote ya taifa na kuwafanya poor of the poorest kuishi kwa kutumia njia zinazodhalilisha utu wao?,pesa yote ingekusanywa vema kwenye mines zetu,jamii inayozunguka hizi mines zingekua na social services bora kabisa,lakini hili halifanyiki na tujiulize why DRC wanatumia bandari za mbali kwa mizigo yao na sio Dar?,jibu rahisi wateule wachache wamepinda sheria na kujinufaisha wao na sio nchi,yes Nina hasira mno hasa na mtu kama wewe unayejifanya hujui mateso ya lower class people's
Najuwa,lakini je tuwe kimya wakati wenye mamlaka wanatukanyaga?
 
Najuwa,lakini je tuwe kimya wakati wenye mamlaka wanatukanyaga?
Ndio mkuu tunahitaji push back maana hii ndio lugha hawa watawala wataisikia,senior minister mmoja anasifia barabara zetu eti ni za kuigwa hapa Africa!!huu ni uongo wenye ushetani mkubwa,yeye mwenyewe anatumia V8 reason behind barabara ni mbovu,why asitumie IST?,tusiwe kimya kabisa ni push back
 
Biashara ya ukahaba ni muhimu sana kwa ustawi na utulivu katika jamii.
Kahaba unaweza kumfanya utakavyo pesa yako tu! Mimi ni mwendo wa kuwatia midomoni tu basi inaitwa "deep throat" ila hakikisha unampanga kabla utan'gatwa dudu!
Aisee jamaa una ukatili wa viwango vya ibilisi
 
Acha upumbavu huu,si ajabu wewe mwenyewe umesomeshwa na mapato yatakanayo na uliyoyaandika kwenye mada yako,maadam sasa una uwezo wa kununua mkate unajifanya hujui yaliyoko on the ground,elewa sio kwamba wanapenda kufanya hivyo ila maisha kuwa magumu na yenye utata mwingi umepelekea hiyo hali,je alishaamka asubuhi na kupeleka mkate hata mmoja kwa jirani yako asiyejiweza?,acha kulalama humu saidia to make a small difference kwa less fortunate neighbor
Ugumu wa maisha sio sababu ya mtu kuuza mwili wake bali ni tabia,pana watu Wana maisha magumu kuzidi wao lakini wanajua thamani ya miili Yao,wanapambana na wanatoboa.
Umalaya ni tabia ya kuendekeza TU.
 
Back
Top Bottom