Mjema Vushanje
Senior Member
- Sep 24, 2017
- 158
- 355
kwahiyo una maanisha hapo ulipo nyero yote ina sugu kama knuckles za bondia?
ungetupiamo na picha tuone kidogo.
Kam vile tulikuwa kijiji kimoja, wakati mwingine unatafuta jiwe ambalo halina ncha kali unatumia kama vile ndo tishu yako!Enzi zile za utoto kule kijijini tulikuwa tunalazimishwa kuchamba kwa kuburuzika chini kwenye udongo...
Yaani ulikuwa unawahi sehemu imebinuka kidogo kisha unapachika tako huku na huku unachamba... Aisee tulikuwa na matako magumu!
Ingekuwa miaka hii wala isingefikia huko...
Magazeti kibao yapo ya kuchambia, hayafai kusoma isipokuwa kuchambia tu!
Kwasasa angalau MWANANCHI na MTANZANIA at least unasoma.
TV hakuna kabisa.
RADIO labda MAGIC FM inasikilizika.
Mkuu Kasie upo?Aahahahahahahahaaaa looh, wakati nasoma uzi wa mtoa mada nilikuwa uso uko kwenye butwaa na mshangao like.... heeeek na nikavuta taswira jinsi walivokuwa wanajiswafi...... daaah
Ila wewe ndo umenichekesha na kuniondoa kwenye mshangao.
Pia nilijiuliza habari ya kutawaza inaingilianaje na jukwaa la siasa kumbe ni mambo ya magazeti ya kisiasa hehehehehehehehee looh.
Ila Jamalm335 wewe utakuwa mkorofi sana aahahahahahahahahahaahaa looh.
Haya ngoja waje wengine wa enzi zako waseme wao walifundishwa kutawaza kwa namna ipi looh
Aahahahahahhahahahahahahahaa
Mkuu Kasie upo?
Kitambo sana aisee
Bukheri wa afya.........Kweli umejaa tele maana sio kwa cheko lile mkuuNimejaa tele.... wajionaje na hali?
Hivi unajua hata chizi hajui kuwa ni chizi...Umasikini mbaya sana, hadi sasa jamaa ni masikini wa fikra
Bukheri wa afya.........Kweli umejaa tele maana sio kwa cheko lile mkuu
Teh nakuelewa sana mamii kwa maneno yako matamuHahahahaaa kucheka ni moja ya haiba yangu na kujaa telee ndo wasifu wangu hehehehehehee.
Teh nakuelewa sana mamii kwa maneno yako matamu
Kumbeeeeeeeee watokea mapenzi yalikozaliwa? na palipo na maneno matamu kuna mapenzi matamu pia.Hahahahahhaa shukria kunielewa mapipando....
Maneno matamu asili yake Tanga nami nimechovyea huko hehehehee.
Kumbeeeeeeeee watokea mapenzi yalikozaliwa? na palipo na maneno matamu kuna mapenzi matamu pia.
Kasie katika ubora wako mama,haya nasubiria utamu mwingine mie