Mjema Vushanje
Senior Member
- Sep 24, 2017
- 158
- 355
Enzi zile za utoto kule kijijini tulikuwa tunalazimishwa kuchamba kwa kuburuzika chini kwenye udongo...
Yaani ulikuwa unawahi sehemu imebinuka kidogo kisha unapachika tako huku na huku unachamba... Aisee tulikuwa na matako magumu!
Ingekuwa miaka hii wala isingefikia huko...
Magazeti kibao yapo ya kuchambia, hayafai kusoma isipokuwa kuchambia tu!
Kwasasa angalau MWANANCHI na MTANZANIA at least unasoma.
TV hakuna kabisa.
RADIO labda MAGIC FM inasikilizika.
Yaani ulikuwa unawahi sehemu imebinuka kidogo kisha unapachika tako huku na huku unachamba... Aisee tulikuwa na matako magumu!
Ingekuwa miaka hii wala isingefikia huko...
Magazeti kibao yapo ya kuchambia, hayafai kusoma isipokuwa kuchambia tu!
Kwasasa angalau MWANANCHI na MTANZANIA at least unasoma.
TV hakuna kabisa.
RADIO labda MAGIC FM inasikilizika.