The Mockingjay
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 380
- 121
Jani tu la mpapai jamani? pepo litakuwa hilo
Hilo la kwanza nimeshuhudia huyo mdada na alipata taabu za maisha mpaka umauti ulipompata hakupata raha hata kidogo ya maisha yake na mwisho wakati karibu anafariki aliwaambia watu wake wa karibu hapendi kabisa mtoto yeyote arithishwe jina lake hilo
Sijakuona jana kwenye harambee ya kakudo au ulikuwa tanga
na je hilo jina shossi umelipata wapi? definately its got nothing to do with shoes:wink2:
Jana nilikuwa nauguza gum nimeng'oa jino juzi Alhamdullilah sijambo now.....
Pole kuna watu wasipokuwepo lazima unote