Ephraim Kibonde Jahazi Show

Kweli mkuu, ulikuwa busy sana jana...umelala kweli?
 
Wa aleikum salaaam kwa niaba yake.....lol! Usinirarue Ze Finest nilikuwa najaribisha tu vike Kibonde angeitika huku kajiinamia kichwa chini.

Namsubiri kumsikia porojo zake za majigambo ohooo nilisahau Kibonde Asalaam aleikum tena, Asalaam aleikum CCM kwa kuwa kufikiri watanzania bado ni vilaza wenu, Asalaam aleikum kwa kuondoa mabango yenu maana yalikuwa kama vile uchafu kwenye jiji hili, Asalaam aleikum kwa kusema mgeshinda kwa asilimia 80, Asalaam aleikum REDET, Asaalam aleikum SYNOVATE(SinaVyote)
 
Kibonde Asubiri viti maalumu na wenzake wakina mbega, hadija kopa na batilda
 
Sugu a.k.a Prezident wa MBY,a.k.a Jiwe la Mtoni a.k.a Jeshi Halisi a.k.a Vetorizer a.k.a nk.Trust ya wananchi hiyo kaka. Wamekwisha kaa kaka.Sasa naenda kulala
 
sugu ni mzalendo wa ukweli....mbeya mjini wanataka mtu anayeweza kuongea....ubungo oyeeeee,ubungo ndio kwa mnyika
 
Nakaaya ndo kwisha habari yake heshima yake imeshuka mpaka Zero
 
SUGU Clouds wamemnyanyapaa sana.
Ila ushauri wangu achana nao usianze leta visirani
 
Sugu kwa asiye kujua nadhani sasa atakuwa amekujuaaaaaaaaa,ni miaka mingi tunakufahamu Sugu,upeo wako katika maswala tofauti ya kijamii tuliukubali hasa katika sanaa.Kina Kibonde waache kutafuta urahisi wa maisha kwa kutaka kubebwa!!!!!wananchi ndio waamuzi
hongera Sugu FREEDOM IS COMING
 
sugu moto chini aaaaaaah sugu moto juuuuu aaaaah ,huwa nasema mtendeeeemema mwenzako hujui kesho atakuwa nani,haya kibonde kama ulimfanyia mabaya sugu amedai atalipa memaaaaaaaa,hatulipizi kisasi sisi
naaaaani iii suguuuu,naniiii suguuuuu..aahaaahahahaahaaaaaa

MAPINDUZIIIII DAIMAAAAAAA
 
kwa kweli mwanaume wa makamo ya kibonde kufanya mipasho ni aibu si kwake binafsi bali pia kwa familia iliyomkuza shame on you kibonde! watanzani hawajasahau ulivyoigiza mdahalo na mgombe urais wa ccm pls cv ya kibonde tafadhali kwa mdau yeyote mwenye nayo!
 
Wasanii wenyewe majority walimbetray wkt wa campani wakahamia kwa mafisadi i.e chege,diamond,temba, marlaw, kanumba ,ray ,mzee yusuph na wengine kibao, acha wafu watetewe na wafu wenzao SUGU KATETEE WANA MBEYA MJINI NA WATANZANIA KWA UJUMLA. UR DA MAN, HONGERA SANA FOLK
 
Muulize mwenyewe uone kama atabisha

Kibonde huwa namshangaa pale anapoiga sauti ya JK wakati wa jahazi!!!! Kwa tabia za kuiga iga sauti za wengine, sishangai kusikia ameiga hata za wenye jinsia ingine....

Cha muhimu aje humu akanushe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…