PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,199
- 8,761
Kweli mkuu, ulikuwa busy sana jana...umelala kweli?nilikuwa nakesha mbele ya keyboard yangu kuhakikisha kwamba ninyi watu mnatukubali wasanii kwamb a tunaweza na tunaaminika.
Mungu awabariki kwa kuunga mkono juhudi za kila kundi hapa nchini hasa makundi yaliyosahaulika.
tanzania ni yetu na tutaijenga wote