Liberal man
Member
- Nov 2, 2010
- 5
- 0
Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
Ukiwasikiliza Kusaga, Mutahaba na vijana wake wote wa pale clouds media unashindwa kuelewa kuwa hivi Clouds FM na TV ni vyombo vya propaganda vya JK au nini? Kwa kweli wanatia kichefuchefu...!! SUGU umedhihirisha yale uliyoyasema kwenye mixtape ya AntiVirus!! Big up yourself!!
Huyu kibonde fara sana.. Kwanza ameathirika na ngoma.. Anajifanya anajua kusema.. Kwanza clouds yote wanapashwa kujua kwamba yule sugu ambaye mnampiga vita sasa ameingia mjengoni.. Amekuwa mtunga sheria..... Kibonde endelea kunywa arv na kuwaambukiza wakinadada... https://jamii.app/JFUserGuide
Kibonde needs to grow some balls and be a virile man.
Ivi CV yake inafika nusu page kweli?
Shule kweli kaenda vyema tuuu hilo halina utata ila kuli hizi jamani ni za kuchunga sana esp kwa sisi vijana tuambiane pale penye ukweli kama tumekosea na sio ku mdissss mtu kupita maelezo ingawa sie binadamu tuna mapungufu ila kuna mapungufu mengine twajitakia kabisaaa na twayatengeneza alfu baada utasikia ni shetani aliingia ndio maana ikawa vile khaaa shetaaani tena? kwahiyo tuwe makini tusimsingizie shetani kila jambo tuchunge midomo yetu na kauli zetu jamani
Jamani acheni kumjadili punguwani wa akili na busara Kibonde ni-- shushushu ama informer wa system kwa hiyo porojo zake zinamlipa na ni muathirika wa kale kaugonjwa ketu
is kibonde a real man?