Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde Jahazi Show

Very correct great thinkers, Kibonde hopeless kweli nafikiri njaa inamsumbua vibaya.Hamna lolote la maana analolijua huyu jamaa, kwanza kipindi chake kinasikilizwa na mashosti zaidi ya watu wa kazi.Nafikiri asipojirekebisha wana JF tutammaliza kwa hoja na comments zilizoenda vitivo
 
Hata mimi nilikuwa mdau wa clouds FM ila Kibonde anatia kinyaa anajifanya mutch know sana. People's station naomba mchekini kibonde kwa karibu. Kama vp aende shule ya habari kwani anasikilizwa na watu wengi. Wengine wote fresh sana. G habash kibonde anakuaribia kipindi
 
Huyo ni limbukeni tu kama walivyo malimbukeni wengine wa radio na television stations!
Hawajui umuhimu wao kwa jamii, na wamiliki wao ni mambumbumbu kama wao! Wako tayari kuuza utu wao kwa kujipendekezapendekeza tu, wanaboa kweli!:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry:
 
YEH MAN! You have received GIFT from GOD! Clouds walikuponda na sasa wana-aibika! Na yawezekana Management ya Clouds haijaona tatizo la watangazaji wake kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na hasa KIBONDE ambaye masikini anajifanya kujua kila kitu kumbe ni mbumbumbu! Clouds walianza vizuri na sasa KIBONDE anatumia vibaya kipindi cha JAHAZI ku-Criticise watu kwa interest zake! Kupewa vitenda vya U-MC vinamtia kiburi! That is unprofessional skills! May be ni shoga?!!!

Hebu tumwanzishie huyu Kibonde thread mahususi baada ya hili joto la kuhesabu kura na matokeo. Yaani akija kusoma hapa itabidi abadili tabia. Anajifanya much nooooooooooo sana. Mods tunaomba tukiianzisha thread a Efraim Kibonde muipe nafasi tafadhali!! Tutaomba wachangiaj wawe wapole, brief to the point with facts!!!
 
Nadhani tunakwenda too far na je ya topic. Ushoga jamani si atakuwa anatumia viungo vyake illegaly ? Point ni matumizi mabovu ya vyombo vya habari kwa kutekeleza maslahi binafsi. Inaelekea ana chuki binafsi na sugu na anataka kushawishi watu wasimpende Sugu.
Watu wa kwao (mapoti wake) wamemjibu. It is called BIG SHUT UP. Leo anatakiwa ampe aslaam aleykum Mheshimiwa Joseph Mbilinyi aka Sugu.
Halafu ajifunze kuwa muungwana na mstaarabu. Basi. Hilo lingine mnalolisema,mie simo
 
Akitandikwa humu ndani atalia huyu bwana, maana ana kautapeli fulani ktk u mc wenyewe. Watu wanammezea mate ya akili na wanamsubiria avamie chaka rasmi wamtoe mbio

Mkuu Mwaga data, Clauds nilikuwa nawakubali sana lakini in the middle of no where wakapoteza uelekeo kabisa...
 
Badala ya kuwafanyia wazazi wao birthday wanajipendekeza kwa jk!hapo kuna akili?kibonde nae anavaa suit za usalama wa taifa
 
Sipati picha Mh. Sugu anapokuwa anatoa points mjengoni na clouds Tv wanamwonyesha live.
 
KIBONDE ALIKUWA MTANGAZAJI MZURI ZAMANI, LAKINI ALIPOINGIA KWENYE JAHAZI AMEHARIBIKA KWELI KWELI MAANA SIO TU KUWAPONDA WAPINZANI TU, YAANI HATA WAFANYAKAZI WALIPOKUWA WANADAI HAKI ZAO ALINIBOA SIKU ILE NILITAMANI NIIVUNJE RADIO KWA HASIRA. CAPTAIN ALIFANYA VIZURI KUMWEKA KWENYE JAHAZI KWA AJILI YA KUCHAMBUA MICHEZO LAKINI AMEVUKA MIPAKA HADI SIASA. ANAMWARIBIA KIPINDI MWENZAKE. TUACHE HAYO TURUDI KWENYE UCHAGUZI. MR 2 NINAUHAKIKA KILIO CHAKE CHA KUDHULUMIWA HAKI ZA WASANII SASA MUNGU AMEKIJIBU OLE WAO MAFISADI WA BONGO FLAVA:nono:


Kwa mujibu wa mpambe wa Sugu kupitia bongo radio jana, Mr Sugu atatumia muda wake mwingi kushugulikia jimbo lake la uchaguzi na sio wasanii kwani majority walimtenga na hawakumpa ushirikiano wowote, wakitegemea kuwa atashindwa huku wao wakipendekeza kwa CCM

 
Hongera kwa Mr Sugu, and SHAME ON CLOUDS FM!!! Ama kwa hakika MR SUGU ameonyesha kwa vitendo ukidhamiria inawezekana na sasa ni mbunge mteule natumai ataiwakilisha vema Mbeya mjini na CHADEMA.

Kwa CLOUDS napenda watambue kuwa kujipendekeza kwao kwa JK na kujiona wana network za juu hapa nchini yana mwisho na alternatives zipo nyingi. Clouds wana uswahiba na familia ya JK, January makamba na wengineo ila sasa mabadilko yamekuja na vijana mahiri wasio na mawaa wameingia kwenye siasa za Tanzania wakiwa na uwezo halisi sio wa kuchonga..Natarajia January Makamba uwezo wake katika kupambanua mambo hana ubavu kwa J.J.Mnyika, Halima Mdee na wabunge wapya machachari wa chadema na upinzanii hapa nchiniii.
 
Namshauri captain amptimue kwenye kipindi chake
 
Sijui wife na watoto wake wakisikia baba yao anavyoongea pumba wanajisikiaje. Yaani ni aibu aibu tupu. Jirekebishe Kibonde, au hilo DOMO ndio linalokuweka hapa mjini??
 
hata dental formula haimrushusu kutamka maneno halijui kaka toto la darasa la nne, huyu jamaa sijui wenye station yao walimuokota wapi **** huyu. Yalimponda mwenzao vibaya vibaya halafu by that time mi niko mbeya watu tunamkubali Mhes. Mbilinyi kwa sana mno lenyewe linaleta uozo wake wa ubongo kwenye microphone lilinikera sana hili jamaa.
 
Nilimsikiliza Kibonde akimponda MrII wakati MrII alipokuwa akilalamika kutapeliwa na Januwari Makamba katika dili la show za Malaria haikubaliki. It was sooooooo irritating. very unprofessional, na kama kawaida ialionesha kwamba alilipwa mshiko wa nguvu ili kumponda MrII.

nilidhani ni bahati mbaya lakini jinsi Kibonde alivyo handle utangazaji katika huu mchakato wa uchaguzi, nimehitimisha kwamba ni njaa kali ambaye anatumia nafasi yake kwenye microphone kufanya kazi ya mafisadi

Kibonde is simply unprofessional, uncivilized and mswahili mshamba
 
I can no longer keep up with the voice of this bogus journalist by the name of kibonde. Who invited this trash into the ccm presidential candidate dialogue with the media.?????
YEH MAN! You have received GIFT from GOD! Clouds walikuponda na sasa wana-aibika! Na yawezekana Management ya Clouds haijaona tatizo la watangazaji wake kujiingiza kwenye ushabiki wa kisiasa na hasa KIBONDE ambaye masikini anajifanya kujua kila kitu kumbe ni mbumbumbu! Clouds walianza vizuri na sasa KIBONDE anatumia vibaya kipindi cha JAHAZI ku-Criticise watu kwa interest zake! Kupewa vitenda vya U-MC vinamtia kiburi! That is unprofessional skills! May be ni shoga?!!!
 
Kibonde u hv nothing to do with mr. II now coz the guy has won the match to mjengoni. Keep on vomiting but that how it is.
Shame on u kibonde.
 
Kwakweli nimekereka sana na hii clouds hasa kipindi hiki cha uchaguzi, anyway we know how to deal with this people, myself i will cut - off all of the adverts toka kwenye my company kwenda clouds, They use that media house irresponsible, hasa huyu Kibonde na kama sikosei somebody hando
 
Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
kibonde ni **** tu na kibaraka anajipendekeza sana kwa JK hadi aibu yeye kazi yake ni kuponda tu elimu yenyewe hana alafu anajifanya anajua kila jambo, huwa tunakunywa naye bia pale London pub external jamaa ni mbahili kinoma ukimnunulia bia lazima akimbie meza na anakunywa castle lite kwa kutoka kwenye chupa ili isiishe haraka. Shame on you Kibonde ujirekebishe na Asalaaaaaam aleyeiky yako. Stupid
 
Back
Top Bottom