Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde Jahazi Show

Huyu jamaa nilishamzarau siku nyingi, ni pimbi tuu. hata siwezi kupoteza mda wangu kumsikiliza halafu bila kujijua anawaharibia wenzake akina G Habash.
 
Kipanya is brave and smart guy than any other person pale Clouds...hata Garder naye mbuzi tu pumbavu zao...wanajichekesha chekesha tuuuuuuuuuu, ujinga ujinga tuuuuuuuuu mbawa kabisa hawa. Mnazo kabisa wao...na wan JF we have to find their CV na ziwe public tuone huo ujuaji wao untoka wapi...tutafute hiyo michongo yao uchwara tujui ina nini ndani yake. Stupi guys
 
Mwenye CV ya Ifraim Kibonde atuwekee, vinginevyo tumsamehe kwa sababu kula kwake kunategemea kujikomba, Huyu mtu hana ajira mbadala, tumsamehe ni kama Malaria sugu!
 
Page ya tatu hii mnamdiscuss mtangazaji wa kipindi cha jahazi. Kibonde has no place at all katika kumtoa mTanzania katika umasikini.

Discuss issues, sio people. Hata mkidiscuss watu sio Ephraim Kibonde. Dude is a radio presenter for eff sake.

Hamko serious nyie. And Sugu will make lousy MP. Goodluck to him.
 
huyu jamaa inaonekana ameboa wengi, tafadhali mwenye picha yake aweke hapa maana wengine hatumjui. Lakini nimefurahi kwa ushindi wa Mr. II, ameonyesha determination inayotakiwa kuigwa na vijana wengi ili kufikia mabadiliko ya kweli kwa taifa.
 
kibonde.jpg
 
Mwenye CV ya Ifraim Kibonde atuwekee, vinginevyo tumsamehe kwa sababu kula kwake kunategemea kujikomba, Huyu mtu hana ajira mbadala, tumsamehe ni kama Malaria sugu!
Yeah, na CV pia. Lakini hata kama CV yake haina qualifications za maana hiyo haimaanisha kwamba ana uhalali wa kufanya kazi against his job ethics.
 
duh ujue type za wa kina kibonde wapo wengi sana tz. iliyopo atie akili sisi ndo vijana ndo tulikuwa tunaifahilia Clouds saa tunaisusia hadi Kusaga asafishe njia na kuomba radhi waliotukanwa na Kibonde. kwa upande flani Gerald Hando is smart anajua cha kufanya, na anajua kuongea na jamii yote kwa ujula kwani anaelewa hii ni radio ya watz kusikiliza, ila kusaga asipomuondoa kibonde kwishney na kampeni zimeisha ccm wazee huwa hawalisten clouds, pia kibonde ushakosa deal la umc hapa mjini may be uhaie masasi kule kwa hawa gasia, u crap boring. umenifanya nisisikilize jahazi kwa week tano sasa, na ndo ntoleeee hadi uondoke clouds ndo nitasikiliza
 
Yeah, na CV pia. Lakini hata kama CV yake haina qualifications za maana hiyo haimaanisha kwamba ana uhalali wa kufanya kazi against his job ethics.

Hana CV kwa sababu hakusoma: Ma MC wanachuo gani kwani?
 
Kibonde......!,si kibonde tuuu!, na kimejaa maji hawa asili yao zanzibar sehemu za makunduchi, umdhaniae sie kumbe ndie!
 
Kibonde mlopokaji tu hajui kitu harafu inaonyesha kwa sababu ya porojo zake watu wanamtumia vibaya. Tusipoteze muda kumdiscus.
 
Kweli dua la kuku halimpati mwehu,ndugu yetu bwana kibonde alikuwa akimponda na kumziaki joseph mbilinyi kuwa hana sifa za kuwa mbunge wa mbeya.sasa sugu kashinda kwa kishindo..aibu ya nani?
KIBONDE MAJI CHOO!!(huu ulikuwa usemi maarufu sana pale mby miaka ya 80,yaani mtu feki kabisa na asiyejiweza)
 
Nilimsikiliza Kibonde akimponda MrII wakati MrII alipokuwa akilalamika kutapeliwa na Januwari Makamba katika dili la show za Malaria haikubaliki. It was sooooooo irritating. very unprofessional, na kama kawaida ialionesha kwamba alilipwa mshiko wa nguvu ili kumponda MrII.

nilidhani ni bahati mbaya lakini jinsi Kibonde alivyo handle utangazaji katika huu mchakato wa uchaguzi, nimehitimisha kwamba ni njaa kali ambaye anatumia nafasi yake kwenye microphone kufanya kazi ya mafisadi

Kibonde is simply unprofessional, uncivilized and mswahili mshamba

Kibonde ana kaugonjwa kalekale kakutokusoma alama za nyakati na nakuombeni mumuweke pembeni mpaka mwenyewe atakapokumbuka shuka yake tayari itakuwa kumepambazuka
 
Hivi kwanza ni kwa nini aliacha kazi DTV/CHANNEL TEN? Walimshtukia nini? Mwenye data aziweka hapa jamani!!!!!
 
Duh...Wadau nilijua ni mimi tu huyu jamaa ananikera...Hawa Clouds FM na TV inawezekana ni mashoga kama alivyosema mheshimiwa Sugu...Kipindi cha KIBONDE SHOW hakina la maana ni mambo ya kishogashoga tuuuuuuuu nowdays nabadili kabisa station siwataki kabisa hawa..:nono:
 
Back
Top Bottom