Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ndugu zangu nahisi nyie hamnifikii mimi jinsi anavyonikela huyo jamaa yenu kibonde.
Mwanaume mzima kujipendekeza wa waume wengine, namshangaa kishenzi, alimponda sugu, sasa anaona aibu kishenzi yaani kwa sugu kuchukua jimbo.
Wenzake wanatafuta, yeye anasubili kupewa........!!!!!!!! Nashindwa kujua kuwa yeye ni mwanamke au sh..................................ga!!!! Kibonde uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana, mwacheni mtoto wa kusubiri vya kupewa aendelee kupewa.......................


"a professor does not argue with a fool"
 


JF leteni topic za maana hapa jamani acheni kuzungumzia hawa machoko wawili mimi huwa nasikia kutapika nikiwasikia ndio maana hata majina yao nasikia kinyaa kuyataja. Acheni kusikiliza kituo cha wapumbavu hawa waliopoteza mwelekeo.
 
ukimsiskiliza huyu lazima naweewe unatumia arv sio hivihiv

yaani sijawahi kuona redio ya vilaza kama ile kusoma hujui hata picha huwezi kuona kibonde ni ***** amesababisha niichukie clouds ni bora kusikiliza radio uhuru ukajua moja kuliko kusikiliza wehu hawa,waulize jinsi magazeti ya rai na mtanzania yanavyododa kwa sababu ya RA,PUMBAVU ZAO
 

hata mimi ningekua wewe ningemaindi mana am sure sugu ni ndugu yako ivo kupata ubunge kutuwakilisha chadema kwa sana..
JOSEPH MBILINY aka SUGU
 
wewe kaanza kukukera leo mimi toka siku kibao ananikera toka siku nyingi.
 
Afu mbona huwa anakohoa na kubanja hewani vile? hiyo radio yao haina offair button?

Haiwezekani amalize kipindi bila kubanja.

Miezi 3 iliyopita nili-text kumuuliza inakuaji haendi hospitali akanijibu onair eti hali ya hewa na air condition ndo sababu.
 
kibonde alitutesa sana kwa maneno yake ya kashfa hasa tulipofukuzwa chuo kufuatia mgomo wa UDSM mwaka 2008.
kweli sikupenda the way alivokua akimsapot bogus mwenzie aliekua wazir wa elim ya juu.
aisee napata uchungu, wana udsm wa mwaka huo mnisaidie kupoza machungu.
 
upupu mtupu.....nyie ndio ma great thinker?
 
He!!!! hivi kumbe kuna watu bado wanamsikiliza huyo mpuuzi kibonde!!!
kwa hiyo kama vipi:A S-devil1::A S-devil1::A S-devil4::A S-devil4::fencing::A S-danger::A S-danger:
 
KTK ILE HALI ISIYO YA KAWAIDA MTANGAZAJI WA CLOUDS AMEKIRI WANANCHI HAWAITAKI TENA CCM!MUOKOZI NI MAGUFULI 2015 HIVYO APEWE WIZARA NYETI VINGINEVYO 2015 BYE BYE!source JAHAZI LEO
 
Iyo ya Magufuli umeiongezea au ndo awalivyosema?
Give us the essense of the issued statement
 
hahaa anajua hilo kuwa CCM watu wameichoka si basi tu njaa zake ndo zilikuwa zinamfanya ashabikie CCM
 
Hivi huyo Kibonde ni influential sana eeeh? Mana kila siku humu Kibonde Kibonde...
 
KTK ILE HALI ISIYO YA KAWAIDA MTANGAZAJI WA CLOUDS AMEKIRI WANANCHI HAWAITAKI TENA CCM!MUOKOZI NI MAGUFULI 2015 HIVYO APEWE WIZARA NYETI VINGINEVYO 2015 BYE BYE!source JAHAZI LEO

Kaka we dont care who is coming. CCM ni chama na si Magufuli wala nani, nchi hii inahitaji overhaul na mtu wa kufanya hili hawezi kutokea CCM hata siku moja, atapiga kelele siku mbili anzibwa mdomo. Uliona mtoto wa mkulima na mashangingi na warsha, aliishia wapi?

My friend kazi ni kubwa.
 
KTK ILE HALI ISIYO YA KAWAIDA MTANGAZAJI WA CLOUDS AMEKIRI WANANCHI HAWAITAKI TENA CCM!MUOKOZI NI MAGUFULI 2015 HIVYO APEWE WIZARA NYETI VINGINEVYO 2015 BYE BYE!source JAHAZI LEO

who is this kibonde just kibonde, isnt it you man
 
Waungwana achaneni na Kibonde, mnafiki huyo, anapima akili za watu. Alikuwa anajua kwa dhati kabisa kuwa Watanzania wasomi na vijana, pamoja na baadhi ya wazee hawaitaki CCM. Pamoja na kujua hivyo, aliendelea kujipendekeza kwa JK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…