Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
dawa yao ni ANTI VIRUS ya Sugu tuuu hahahahahahahha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kukerwa na mteja wa ARVs pale Tumaini Hospitali
Kwa bahati mbaya sana na mimi nilisikiliza Clouds jioni, na hii ni kutokana na kulazimishwa na jamaa nililiyekuwa naye kwenye gari na nikaona si mbaya ngoja nimpe anachotaka. Ule upuuzi alioongea Kibonde, kama ningekuwa mimi ndo Joseph Kusaga basi leo jamaa angekuwa anapewa onyo kali na kupelekwa training ya utangazaji na uandishi wa habari.
Jamaa alikuwa anajifanya anatoa uchambuzi wa kisiasa hasa masuala ya bunge huku yeye mwenyewe akikiri kuwa hajui mambo yafuatayo;
1. Bunge la sasa linatarajiwa kuwa na wabunge wangapi
2. Idadi ya viti maalumu vya CCM na vile vya upinzani
3. Taratibu zinazofuatwa katika kuchagua spika
4. Mchakato uliofuatwa na CCM mpaka kufikia kumpitisha Anna Makinda
5. Vigezo vilivyotumika na CCM kumuengua spika Sitta, huku Kibonde akimdhihaki kama ni mtu aliyekuwa mzigo kwa chama chake
Sasa najiuliza kama alikuwa anajua kwamba anakuja kuchambua masuala ya bunge na uchaguzi wa spika, kwa nini hakujiandaa na kuwa na relevant information?
Nilishikwa na butwaa pale ambapo bogus mwingine Gadner G Habash aliposema kwamba Jaji Mkuu wa Tanzania ni mwanamke!! Na aliendelea kusisitiza hivyo mpaka msikilizaji mmoja alipomtumia sms na kumwambia kuwa Jaji mkuu ni mwanaume.
I was totally pissed off!! Nikajiuliza hivi Kibonde anaweza nini? Kuchambua michezi pia hajui, namshauri atafute training zitakazo msaidia kuondoa ujinga alionao.
Labda tatizo linaweza kuwa Kibonde hajui kama hajui!!
ukimsiskiliza huyu lazima naweewe unatumia arv sio hivihiv
Ndugu zangu nahisi nyie hamnifikii mimi jinsi anavyonikela huyo jamaa yenu kibonde.
Mwanaume mzima kujipendekeza wa waume wengine, namshangaa kishenzi, alimponda sugu, sasa anaona aibu kishenzi yaani kwa sugu kuchukua jimbo.
Wenzake wanatafuta, yeye anasubili kupewa........!!!!!!!! Nashindwa kujua kuwa yeye ni mwanamke au sh..................................ga!!!! Kibonde uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana, mwacheni mtoto wa kusubiri vya kupewa aendelee kupewa.......................
"a professor does not argue with a fool"
upupu mtupu.....nyie ndio ma great thinker?Gadna alikuwa anaishi Moshi kama Bar Maid then akapelekwa Mwanza na muhindi kuuza duka la CDs then akakutana na Mama Tanrose aliekuwa na Tanrose video library pale mbele ya shopaz akiwa kama mpenzi wake na business planner wake then akajishaua cloudz wakampa kazi akakutana na Lady JD amabe alikuwa ni demu wa Ruge jamaa akaoa kutokana na njaa zake akamtema mkewe...kutwaaaa utangaza matangazo ye mkewe kwa ruhusa ya mme mwenza Ruge...aibu sana G Habash kuwa maskini jeuri wewe...
kwa hiyo kama vipi:A S-devil1::A S-devil1::A S-devil4::A S-devil4::fencing::A S-danger::A S-danger:He!!!! hivi kumbe kuna watu bado wanamsikiliza huyo mpuuzi kibonde!!!
KTK ILE HALI ISIYO YA KAWAIDA MTANGAZAJI WA CLOUDS AMEKIRI WANANCHI HAWAITAKI TENA CCM!MUOKOZI NI MAGUFULI 2015 HIVYO APEWE WIZARA NYETI VINGINEVYO 2015 BYE BYE!source JAHAZI LEO
KTK ILE HALI ISIYO YA KAWAIDA MTANGAZAJI WA CLOUDS AMEKIRI WANANCHI HAWAITAKI TENA CCM!MUOKOZI NI MAGUFULI 2015 HIVYO APEWE WIZARA NYETI VINGINEVYO 2015 BYE BYE!source JAHAZI LEO