Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde Jahazi Show

Mfa maji heshi kutapatapa.

Namfananisha Kibonde na mfa maji. Kama wenzake, wana-CCM, wanatapatapa, kwani wanajua maji yamewafika pabaya... SHINGONI! Sasa wanazama, kwenye kina cha maji kirefu, walichojichimbia wao wenyewe.

CCM iliamua makusudi kufanya ufisadi, wakidhania kwamba wataweza kuizima DHAMIRA ya Watanzania walalahoi. Jambo zuri ni kwamba, ukila na kipofu ukamshika mkono, ATAKUBAMBA! Kipofu mlalahoi leo anaona, keshaujua ukweli, HUMWAMBII KITU!

CHADEMA ni sawa na DOZI KALI ya malaria sugu kwa CCM. Dawa ya ukombozi imepatikana, CCM sasa wanatetemeka kwa homa, kwani mgonjwa wa malaria utamjua tu kwa jinsi anavyotetema, akihangaika wakati dawa ikifanya kazi yake. Sasa siku ya KUPONA kwa mgonjwa huyu ni Oktoba 31, 2010, ambayo MALARIA SUGU itatibiwa na kuondolewa miongoni mwa Watanzania. WATAPONA!

Mdudu malaria ataondoka nyumbani kwa Watanzania. Malaria kweli HAIKUBALIKI! Watanzania wame-ZINDUKA, kwani MALARIA HAIKUBALIKI!

MALARIA = CCM!

Umeipata hiyo?

-> Mwana wa Haki

P.S. Hizi bado ni rasha rasha, kwani sasa bado ni ALFAJIRI. Hata mchana haujafika, CCM inalalama kwa homa kali. Itakapofika mchana na joto limepanda sijui watafanyaje? Tehe tehe tehe! Hahahaha! Kwi kwi kwi kwi! Kof kof! Jamani mbavu zanguuuuu! Khaa! Hahahaha! Kicheko miye! Waache wapoteze tu hayo mabilioni, watakuja kuyalipia NJE ya Ikulu, sijui watasema nini kwa waliowakopesha. HATUDANGANYI-KI!
 
HAIWEZEKANI KUWA KIBONDE ALIINGIA HUMU JUKWAA LA CHADEMA.....labda alielekezwa na chadema member.......labda tumuulize yeye mwenyewe atajibu in black and white......!LIPULI YA IRINGA(CHADEMA/MNYIKA) NI TIMU AMBAYO ILIKUWA NI KINARA WA USHINDWA.....!
HOPE THE GUY WAS RIGTH
 
Hahaaaa asisalimie mchezo....analeta augments zake za kitoto
 
HAIWEZEKANI KUWA KIBONDE ALIINGIA HUMU JUKWAA LA CHADEMA.....labda alielekezwa na chadema member.......labda tumuulize yeye mwenyewe atajibu in black and white......!LIPULI YA IRINGA(CHADEMA/MNYIKA) NI TIMU AMBAYO ILIKUWA NI KINARA WA USHINDWA.....!
HOPE THE GUY WAS RIGTH
???????????
 
Sio siri nimeacha kusikiliza clouds kwa sababu imegeuka na kuwa redio ya mipasho zaidi kutoka kwa vijana hawa wa bara..

Mwisho wa siku kibom=nde atavuna anachokipanda kwani wenzake wamevuna sana kupitia clouds na vyombo vingine vya habari...km akina salva rweyemamu baada ya kuonewa huruma kutokana na kutumika kuponda watu wengine kwa maslahi binafsi...heko kibonde lakini watu kama nyinyi wapotoshaji wakuu hamstahili kuonekana kwenye uso wa dunia
-hatukatai ukosoaji lakini lazima usome alama za nyakati...sio kazi yz clouds kupinga ajenda za vyama fulani kwa sababu tu unaushabiki wa kisiasa.....kibonde haeleweki na wala hawezi kutofautisha mambo ya kujadili na namna ya kujadili sualal la kisiasa na ukichukulia kuwa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu...............kibaya zaidi huyu kijana sielewi anajiamini na nini kwani anakebehi sana kana kwamba anayesema /kuamua kuikosoa ccm basi kwani kwake ccm ni mama na baba yake..................yaani hajawahi kuamini kuwa nchi km ueingereza ujerumani marekani tunakoshinda kuomba misaada zinamfumo wa kubadili uongozi kwa kuchagua chama kingine ili kuingiza sera na mawazo mapya lakini yeye kabaki na akili zake mgando kuwatukana wanaharakati............
Hivi mmiliki wa clouds ndiye aliyteamua kumruhusu kibonde kukichafua kituo hiki kwa maksudi au ana lake jambo.
Anachukiza sana.....habari za clouds ntakuwa nazipata hapa jamvini km zitakuwa nzuri......
 
Sio siri nimeacha kusikiliza clouds kwa sababu imegeuka na kuwa redio ya mipasho zaidi kutoka kwa vijana hawa wa bara..

Mwisho wa siku kibom=nde atavuna anachokipanda kwani wenzake wamevuna sana kupitia clouds na vyombo vingine vya habari...km akina salva rweyemamu baada ya kuonewa huruma kutokana na kutumika kuponda watu wengine kwa maslahi binafsi...heko kibonde lakini watu kama nyinyi wapotoshaji wakuu hamstahili kuonekana kwenye uso wa dunia
-hatukatai ukosoaji lakini lazima usome alama za nyakati...sio kazi yz clouds kupinga ajenda za vyama fulani kwa sababu tu unaushabiki wa kisiasa.....kibonde haeleweki na wala hawezi kutofautisha mambo ya kujadili na namna ya kujadili sualal la kisiasa na ukichukulia kuwa tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu...............kibaya zaidi huyu kijana sielewi anajiamini na nini kwani anakebehi sana kana kwamba anayesema /kuamua kuikosoa ccm basi kwani kwake ccm ni mama na baba yake..................yaani hajawahi kuamini kuwa nchi km ueingereza ujerumani marekani tunakoshinda kuomba misaada zinamfumo wa kubadili uongozi kwa kuchagua chama kingine ili kuingiza sera na mawazo mapya lakini yeye kabaki na akili zake mgando kuwatukana wanaharakati............
Hivi mmiliki wa clouds ndiye aliyteamua kumruhusu kibonde kukichafua kituo hiki kwa maksudi au ana lake jambo.
Anachukiza sana.....habari za clouds ntakuwa nazipata hapa jamvini km zitakuwa nzuri......

Kuna siku tulijadili hoja za huyu jamaa na wengi tuligundua kuwa jamaa si mzalendo kwa Tanzania, na kama ni mazlendo basi IQ yake ni almost below 70. Kuna rafiki yake akamtetea eti kwa kuwa anfanya kazi na watu wa namna hiyo na yeye amevutika na kuwa wa namna hiyo.
Anayoongea clouds ni mtoto wa shule ya msingi au wanasiasa wa vijiweni, maskani, na wakereketwa ndio wanaweza kusikiliza. lakini hoja zake hapa JF ni pumba kabisa, kuna vichwa hapa vimeenda shule huwa vinachambua hoja mpaka unashangaa. Lakini siku yake itafika na atakuja kusoma mwenyewe hapa. So he is just being used and after that he will be scapped. Labda awe na bahati kama Salva.
 
tunamlaumu Kibonde, ila labda tumuulize kama hata ana mipango ya zaidi ya miaka mitano ijayo!!!
 
Jamani huyu Kibonde shule hakuna, elimu yake ndogo, akili ndio hivyo, jina hana ana survive kwa heshima za kibonde mdogo ambaye watoto wake wenyewe wamekaa kimya. Hana profession, hata huko kupewa U MC anapata kwa wajinga wenzie hakuna organization serious itakayochukua mtu hajui ku interprete chochot, tazana tangazo la zain alivyoliharibu, hivi hata shule ya msingi amemaliza? wingi wa saa ni masaa? au ni huku kupewa pewa vishilingi mbili vya kupigia vuvuzela makampuni ambayo wala hayawezi ku measure impact ya mchango wake. Yaani kibonde anatia kinyaa, cha kushangaa anataka kuwa punch hata wamejijengea utumishi wa kutukuka nchi hii, wakina mpendazoe, Mgaya wa TUKTA, na sasa anamtafuta mnyika mtanzania halisi halahala asije akatahiriwa bila ganzi, vijana wengine wamefundwa, kwanza ajibu alichosema MR II kuhusu afya yake na uharibifu wa watoto wa THT kabla yajachojoa humu. Nashangaa Kusaga anapewa nini kuuu Radio yake kwa kuwachekea hawa, ni kweli na yeye hajiamini anafikiria hawezekani capital radio wamekuja tutamtosa kama kawaida, na hata mimi sisikiliza clouds tunaomba wana JF wote tuachane nayo - sanction kama kazi!
 
Kaka umenena, huyu jamaa natamani sana kujua ELIMU yake kwani kila kitu anakijua tena KIUNDANI, anafahamu; Siasa, Uchumi, Uhandisi, Udaktari, Ukocha, MIPASHO, Uongozi, Ualimu pamoja na KIINGEREZA na ZAIDII anataaluma ile ya KALUMANZILA pia!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kibonde akilinyake ndogo san a .Hana anachojua by the way clouds fm sidhani Kama ni radion station makini
 
Oooh! sory kumbe ni INJINIA E. Kibonde ndio maana anaINJINIA kila kitu.
 
Kibonde akilinyake ndogo san a .Hana anachojua by the way clouds fm sidhani Kama ni radion station makini

Mkuu siku hizi hata wenye akili ndogo wa mtaani wanajua kabisa kuwa nchi yetu inaenda mrama. Inawezekana ni Kibonde peke yake anayeona maisha bora kwa mtanzania. Wengine wanaimba CCM CCM lakini moyoni mwao wanajua ukweli ni nini. Kibonde anaonekana kuwa hana uzalendo hata kidogo kwa Tanzania, sijali elimu yake, maana kuna watanzania wengi tu hawana elimu lakini wako clear upstairs, hata ukienda manzese hata vibaka wanajua kuwa nchi inaenda ovyo, na wana uzalendo na wanaumia kuona kuwa nchi yao iko ovyo, hawasifii ubovu. Lakini kwa kijana kama yeye ambaye yuko kwenye prime time anatakiwa kuwa more useful to the society, sio kutake part kuibomoa Tanzania. Kama ni njaa si yeye tu mwenye njaa, wengi tu tuna njaa, lakini tunaithamini Tanzania yetu na utu wetu.

"Kama mtu unalalamika kuna tatizo, halafu husemi tatizo lenyewe, basi wewe ndio tatizo kubwa kabisa"

Nimeisikia kauli hii akiisema kibonde mara nyingi sana. It is most stupid than anything i have ever heard out of his mouth. Even worse, it has been repeated every now and then in clouds.

Tumelalamika mara kwa mara mfisadi, wasanii, umaskini, uhalifu,viongozi vihiyo na wametajwa na kuwekwa magazetini, na wengine hata kutukejeli hadharani, halafu eti Kibonde anasema tunalalamika matatizo halafu hatusemi matatizo ni nini. Huko ni kututukana na kutuona wajinga, lakini ukweli unaonekana wazi kuwa mjinga ni yeye ambaye hata hajui kama nchi yake ina matatizo na ndio maana hata yeye analazimika kuganga njaa kwa kujidhalilisha.

Ndio maana wazee wanatuona vijana ni hopeless, useless na cheap. Tunanunulika kiurahisi sana.
Kibonde kama wewe ni member hapa, tupe your side of story, may be tunasema tusiyoyajua, lakini tunayoyaona ni kinyaa.
 
bongo ni nchi ya wasanii kuanzia kwa viongozi wake mpaka wananchi..........ni usanii kwa kwenda mbele......

kama tulikubali pale tulipoambiwa kuwa wale walioiba EPA nawapa mpaka October 31 wawe wamerejesha pesa na waliporejesha ikawa basi....itutoshe kuelewa how much screwed up we are.

kibonde is smart kwani anajua kuwa hii ni chi ya wasanii na usanii unalipa basi naye anapiga usanii tuuu.......it does not matter hata kama nachoongea ni utumbo mtupuuuuuuu!!!!!!!!!!
 
Habari nilizozipata punde..

Mtangazaji wa clouds Fm Ephraim Kibonde ameitumia salamu Jamii Forums, home of great thinkers na ameshukuru na kuheshimu michango yake..

Great thinkers discuss issues and ideas not people. If we call ourselves great thinkers we should stop this business of discussing individuals.
 
Back
Top Bottom