Ephraim Kibonde Jahazi Show

Ephraim Kibonde Jahazi Show

Kibonde,gadna na ma*ay*wengine wa clouds levo yao ni za kina kanumba,aunt ezekiel,uwoya,malo,chege, na K wote vibaraka. Tunakosea sana tunapomjadili icon,legendary,mpambanaji uncle sugu na K hawa.
 
Kweli,na sasa inabidi tu wamuite muheshimiwa joseph mbilinyi,hata wakimuita muheshimiwa sugu..haina utata.ila sugu ni muheshimiwa sasa hana kinyongo na nyie.
 
atabaki na asylaimu aleikyumu asylaim alikyum yake


hahahaha
 
Sanaa na Wasanii imepata mwakilishi wa KWELI Bungeni aliye HURU kabisa. Kwa kuwa akina Kibonde nao wanachokifanya pale Clouds ni sanaa, wamuunge mkono mwenzao huyu kwa akili na nguvu zote badala kuendelea kumlamba viatu Kusaga na Jakaya.
 
Kuna wadau wanadai Kibonde anakipaji cha uimbaji wa TAARABU ila hajakiweka hadharani,ndo maana anakuwa mmbeya,mwenye majungu na mpenda sifa.

eeeeeeh, ni kweli kabisa maana hata taarab imo.
 
[kibonde tatizo lake kakariri watu wameaka hili kama trellar ataisoma picha yake 2015 hatupigi domo wakati huu kichapo cha kimyakimya. kawe vip Mdee hawajamueleweshea mpango mzima?
 
Kumfananisha Kibonde na Sugu ni kama kumfananisha Kikwete na Dr. Slaa. Utawezaje mfananisha Mwalimu wa chekechea, tena wa nchi zetu hizi na Sir. Isaac Newton?
 
Ukiwasikiliza Kusaga, Mutahaba na vijana wake wote wa pale clouds media unashindwa kuelewa kuwa hivi Clouds FM na TV ni vyombo vya propaganda vya JK au nini? Kwa kweli wanatia kichefuchefu...!! SUGU umedhihirisha yale uliyoyasema kwenye mixtape ya AntiVirus!! Big up yourself!!
 
Kibonde ana tabia ya kikike kike!! Yee anadhani kuchonga sana kwenye Radio ndio kujua mambo?? Hii ndio athari za waandishi wasioenda shule , na kazi yao ni kununua vyeti tu!! Wee angalia hata mambo yake mengi anayofanya analysis hata mpira tu, au magazeti huwa anaongea upuuzi mwingi sana tofauti na umri wake. Anadhani anafurahisha watu kumbe hapo hapo anajiabisha. Siku nilipomwona sikuamini mtu kama yule ndo yeye alikua anaongea upuuzi kiwenye Radio jana yake!!

Kua mzee Kibonde , acha utoto na ushamba, sikuhizo wa Tz wameamka na kujua kupima mambo ya kusikiliza.
 
Hata radio station yao sio ya watu kama wanavyosema wao.......wamelalia huko huko.......kwa wazee wakati wengi wao katika timu yao ni vijana ambao kama wangekuwa timamu wangekuwa wanadai mabadiliko.........
 
huyo mzee wa asalaam alekum hana maana. ni mijitu yenye kawaida ya kujipendekeza na kufikiri yenyewe ndo inakubalika popote pale. binafsi nikimwona kibonde ktk tangazo lolote huwa na zima tv mpaka lipite hilo tangazo lake.
icon8.png
 
Hii ni preface ya aibu, aibu kamili 2015, ambapo vyombo vyote vya habari vibaraka vitadhalilika, ingawa najua wengi wao kufikia 2014 wataanza kujishobokeza kwa CHADEMA, ILI KUANDAA MAZINGIRA...jAMANI VYOMBO VILIVYOTUSUPPORT TUNAVIJUA, kwahiyo hatutaki ALIENS...
 
Hawa Watoto wa Clouds ni masnitch..! why? Kibonde si mtu wa kumdiskass,
Kibonde means Muonewaji so every time SHE is Fku.xxuu....!!
hana dili mpuuzi tu, so let we leave this mada ya huyu ****.
Mbeya Oyee.. Chadema Juuu!! NF
 
Jamani acheni kumjadili punguwani wa akili na busara Kibonde ni-- shushushu ama informer wa system kwa hiyo porojo zake zinamlipa na ni muathirika wa kale kaugonjwa ketu
 
Back
Top Bottom