Epiq Bongo Star Search (EBSS) sasa kuoneshwa na TBC1

Heaven on Earth

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2013
Posts
37,226
Reaction score
26,687
EPIQ BONGO STAR SEARCH 2013 itaonyeshwa TBC1 na sio ITV tena kama tulivyozoea

huku Chief Judge Madam Ritha akisema sababu kubwa ya kufanya hivyo ni sababu za

kibiashara(sijui zipi hizo) na pia TBC1 inapatikana katika vingamuzi vingi kama Startimes

DSTV na ZUKU.

#umbea# isije kuwa ni kwa sababu Bw Machache yuko na Bi dada wa "Nalia kwa furaha" nae
akaamua kwenda na njia yake.

Kila la Kheri Chief Judge Madam Ritha......
NAWASILISHA.
 
daaa yani miaka yote hiyo wameweza kuelewana lakini mwaka huu wameshindwa. daaa hizi sababu za kibiashara inawezekana itv wamewapandishia gharama za kurusha kipindi.

hii show nitaikosa sababu ya tbc.
 
Na huyu madam rita na mwanaye Evelyn wananyanyasa sana wafanyakazi wa benchmark......wamedhulumu sana mishahara ya wafanyakazi wa benchmark kwa muda mrefu. Ndio maana mikosi inamuandama kila kukicha.
 
Na huyu madam rita na mwanaye Evelyn wananyanyasa sana wafanyakazi wa benchmark......wamedhulumu sana mishahara ya wafanyakazi wa benchmark kwa muda mrefu. Ndio maana mikosi inamuandama kila kukicha.

duuh,kumbe dhuluma amebobea.nilidhani anawadhulumu wakina Walter Chilambo 2
 
mmh hawa TBC utaratibu wao wa vipindi ni shaghala baghala 2. mara hotuba ya KATIBU wa chama, mara uzinduzi wa barabara. tutaahirishiwa kipindi hadi tukome. ye angebaki 2 huko huko kwani vipi bana! penzi kiti cha basi ukishuka mwenzio anakaa.

Kweli kabisa, kwa tbc hatutapata uhondo ipasavyo,
 
mmh hawa TBC utaratibu wao wa vipindi ni shaghala baghala 2. mara hotuba ya KATIBU wa chama, mara uzinduzi wa barabara. tutaahirishiwa kipindi hadi tukome. ye angebaki 2 huko huko kwani vipi bana! penzi kiti cha basi ukishuka mwenzio anakaa.

Na mimi huu ndio wasiwasi wangu mkubwa,ITV ilikuwa bomba zaidi
 
Na huyu madam rita na mwanaye Evelyn wananyanyasa sana wafanyakazi wa benchmark......wamedhulumu sana mishahara ya wafanyakazi wa benchmark kwa muda mrefu. Ndio maana mikosi inamuandama kila kukicha.

Kumbe ana mtoto anaitwa evelyn nilikuwa sijuagi lol
 
mmh hawa TBC utaratibu wao wa vipindi ni shaghala baghala 2. mara hotuba ya KATIBU wa chama, mara uzinduzi wa barabara. tutaahirishiwa kipindi hadi tukome. ye angebaki 2 huko huko kwani vipi bana! penzi kiti cha basi ukishuka mwenzio anakaa.

Nadhani angejaribu kumuuliza Masoud Kipanya na show yake ya MAISHA PLUS inavyovurugwa na hawa TBC. BSS ndo inakufa taratibu.
 
Nadhani angejaribu kumuuliza Masoud Kipanya na show yake ya MAISHA PLUS inavyovurugwa na hawa TBC. BSS ndo inakufa taratibu.

hata show ya tusker project fame waliichakachua sana si sawa na walipopewa star tv na chanel ten. sina hata hamu na hawa wa2.
 
Tatizo la TBC ni uwezekano wa kuvuruga muda wa vipindi.
Masoud Kipanya mzoefu wa hii makitu.
 
mmh hawa TBC utaratibu wao wa vipindi ni shaghala baghala 2. mara hotuba ya KATIBU wa chama, mara uzinduzi wa barabara. tutaahirishiwa kipindi hadi tukome. ye angebaki 2 huko huko kwani vipi bana! penzi kiti cha basi ukishuka mwenzio anakaa.

Yaani we acha tu, watakapofululiza mwezi mzima kwa vipindi maalum ndio madamu na wadhamini wake watakapotokwa machozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…