EPL 2019-2020; Chelsea itafungwa na timu zote za big 4

EPL 2019-2020; Chelsea itafungwa na timu zote za big 4

soka safi vijana wanacheza... Pedro anacheza kama kinda wa miaka 20,, Kante pale kati hana mfano
Timu ipo vizuri baada ya mechi kadhaa itatulia vema,tangu mechi ya United,Chelsea hawakuwa na bahati hata jana Liverpool wameshinda lakini Chelsea walicheza vizuri zaidi,Liverpool kama wana fatique kiasi
 
  • Thanks
Reactions: usy
Nitakua nina'upadate matokeo ya Chelsea msimu huu mzima mpaka mjue litimu libovu sana tena sana.

NB:
Mimi ni MAN U DAMU, GGMU
 
Nitakua nina'upadate matokeo ya Chelsea msimu huu mzima mpaka mjue litimu libovu sana tena sana.

NB:
Mimi ni MAN U DAMU, GGMU
usisahau na leo Ku update matokeo ya manjesta
 
Sawa...ila kumbuka uzi huu ni kwaajili ya update za mechi za Chelsea TU
 
Duru la raundi ya kwanza ya EPL imeitimishwa leo baada ya kuona games kadhaa zikipigwa katika madimba kadhaa ya kabumbu uko England.

Kwa upande mmoja naona Chelsea ikikubali kichapo cha goli 4 bila majibu kwa timu ya Man U, nadiriki kusema...kwa aina ile ya mfumo na wachezaji naona kabisa Chelsea ikipoteza points kadhaa mbele ya timu kubwa kama Man City, Liverpool, Spurs na Arsenal.

Frank Lampard ndio kocha wa mapema sana kufukuzwa kazi maana mweye timu hana kabisa uvumilivu wa aina hii ya matokeo.
Ni swala la muda tu.

UPDATE no1.

Super Cup Final - Liverpool Vs Chelsea
Full time 1-1, Extra time 2-2.
Penalty Shoot-out 5-4

Liverpool ndio bingwa wa Super Cup 2019-2020.

UPDATE no2.

EPL - Chelsea Vs Leicester City
Full time 1-1



Melvine!
UPDATE no3.

EPL - 22 Sep '19

Chelsea 1-2 Liverpool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom