EPL Community Shield Updates

EPL Community Shield Updates

FT: ARS* 1-1 LIV (5-4)

Arsenal anashinda ngao ya hisani kwa mara ya 16.

Hongereni Arsenal!
 
1598725158960.jpg
 
Abomayangi amekosa medali, ingekuwa bongo tungeona kejeli zote za dunia.

Ila kwa soka lililopigwa, mbona kama bingwa mtetezi wa EPL alikuwa kama andadogi? Ndio kusema washika manati wa Londoni gari limewaka au Jogoo kapulizwa mkiani?
 
Abomayangi amekosa medali, ingekuwa bongo tungeona kejeli zote za dunia.

Ila kwa soka lililopigwa, mbona kama bingwa mtetezi wa EPL alikuwa kama andadogi? Ndio kusema washika manati wa Londoni gari limewaka au Jogoo kapulizwa mkiani?
Hapana ile medali wenzake walimchukulia.
Kwa sababu asingeweza kunyanyua ndoo akiwa kashikilia na medali
 
Abomayangi amekosa medali, ingekuwa bongo tungeona kejeli zote za dunia.

Ila kwa soka lililopigwa, mbona kama bingwa mtetezi wa EPL alikuwa kama andadogi? Ndio kusema washika manati wa Londoni gari limewaka au Jogoo kapulizwa mkiani?
Kuhusu gari mkuu, naona ndio limewaka.. Tena limewakia kilimani.

Akiweza kushinda game ngumu za Liva na Man City tunaweza kuongea mengine msimu huu.
 
Kuhusu gari mkuu, naona ndio limewaka.. Tena limewakia kilimani.

Akiweza kushinda game ngumu za Liva na Man City tunaweza kuongea mengine msimu huu.
Live ila sasa hawa pumzi zinakata mapemaaa, unaweza kujikuta mnamdhamini mmasai hapa, na kwa jinsi timu nyingi zilikuwa dhoofu lihali, nilitegemea hawa washika bunduki watawale soka la UK kwa angalau miaka 5 mfululizo tangu Fergie aachie ngazi, ajabu wakaja akina Leceister, Spurs, City, Chelsea na matokeo yake wakarejesha heshima ya Liver iliyopotea siku nyingi.

Sasa kwa mwendo huu, naona kabisa Liver anavyoenda kupwaya kwenye utetezi na ni nafasi ya washika manati wa London kama watakaza.

Nilipoangalia ile fainali ya Bayern na PSG, nilisikitika sana, mimi niliyezoea zile fainali za Liver na AC Milani, Chelsea na Man Utd, n.k, nikaona kabisa EPL ina nafasi ya kutawala soka la Ulaya kwa muda mrefu kama baadhi ya timu zitaamua kurudia mifumo yao ya zamani.

Ile Arsenal ya Viera, Maya, Campbell, Pires, Reyes, Gilberto, TH14, Bergkamp, Ljumberg,n.k Hakuna mtoto hapo, wote walizoeana kwa muda mrefu....Barcelona anakufa hapa siku zile,kadi nyekundu inawaokoa kwenye ile fainali.

Sio shabiki wa Arsenal.
 
Live ila sasa hawa pumzi zinakata mapemaaa, unaweza kujikuta mnamdhamini mmasai hapa, na kwa jinsi timu nyingi zilikuwa dhoofu lihali, nilitegemea hawa washika bunduki watawale soka la UK kwa angalau miaka 5 mfululizo tangu Fergie aachie ngazi, ajabu wakaja akina Leceister, Spurs, City, Chelsea na matokeo yake wakarejesha heshima ya Liver iliyopotea siku nyingi.

Sasa kwa mwendo huu, naona kabisa Liver anavyoenda kupwaya kwenye utetezi na ni nafasi ya washika manati wa London kama watakaza.

Nilipoangalia ile fainali ya Bayern na PSG, nilisikitika sana, mimi niliyezoea zile fainali za Liver na AC Milani, Chelsea na Man Utd, n.k, nikaona kabisa EPL ina nafasi ya kutawala soka la Ulaya kwa muda mrefu kama baadhi ya timu zitaamua kurudia mifumo yao ya zamani.

Ile Arsenal ya Viera, Maya, Campbell, Pires, Reyes, Gilberto, TH14, Bergkamp, Ljumberg,n.k Hakuna mtoto hapo, wote walizoeana kwa muda mrefu....Barcelona anakufa hapa siku zile,kadi nyekundu inawaokoa kwenye ile fainali.

Sio shabiki wa Arsenal.
Umeteremka vyema mkuu
 
Back
Top Bottom