Jana si jana ulikuja na uchambuzi wako ule wa kike kike
Mjinga sana uyoTena ule uzi aliouanzisha kaukimbia na wadau wanamtafuta yeye kaja kufungua uzi mwingine huku.
acha ufala mamayo!Mjinga sana uyo
Kama huddersfield ? inawezekana mkuu.Asee man city itakuja pigwa na timu ndogo hamtoamini hakika nawaambia
Asante my wifeacha ufala mamayo!
Unaweza kuniambia kati ya Man City na Man U ni timu ipi yenye wachezaji wa gharama? Ni timu ilitumia pesa nyingi zaidi katika usajili msimu uliopita na huu unaoendelea. Nimeuliza hivyo kwa kuwa najua washabiki wa Man U kila kizuri huwa wanataka kiwe chao japo sina uhakika ww upo upande gani.Man City wana mabeki wa £ 200 ambao wamesajili msimu uliopita. Hapo ujaongelea kipa, viungo na washambuliaji.
Mkuu hata Mimi nimekubali ligi ya England tulikuwa tunasema ngumu kumbe hakuna ugumu wowote zaidi ya kuwa Na timu mbovu naona pep amekuja kudhihirisha hili huyu jamaa ni kocha wa sayari nyingineEPL imekuwa timu ya ligi moja tu tena Man City. Team zote kubwa zimepokea vipigo toka kwa Man City.
Kwasasa Man City pale EPL hana tofauti na PSG kwa Ufaransa, Bayern kwa Ujerumani na Juve kwa Italy. Yaani ligi za timu moja.
Makocha wote kuanzia Mourinho, Klopp, Wenger, Conte na sasa Pochetino wameshindwa kuwa na mbinu za kumsimamisha City.
Chelsea alikula 1.
Akaja Man Utd akala 2.
Arsenal akapigwa 3.
Spurs leo amedundwa 4.
Majogoo wa Liverpool akapigwa 5.
Ni wakati sasa wa kufuata kauli isemayo " If U can't beat them, join them " yaani kama umeshindwa kupambana nao, ungana nao!!
Povu ruksa...
Kama barca vileDaa ukweli joini them agreed
Mimi na Asernal yangu tunachechemea
Nimepata furaha sana team Godiola inavopepeta kabumbu.
Mpaka rahaaaa
Kabisa mkuu Jana niliona spurs walivyokuwa wananyanyasikaHalafu hata wachezaji alionao siyo wa gharama kubwa kivile km kina ibrahimovich,lukaku, lorlente, etc.
Kabisa mkuuGadiola mwalimu mzuri sana
Kevin hatari sanaMakamanda wawili wasiozuilika, mmoja ndani ya uwanja na mwingine nje ya uwanja.
Mkuu hiyo si ndio hela ya pobga tuMan City wana mabeki wa £ 200 ambao wamesajili msimu uliopita. Hapo ujaongelea kipa, viungo na washambuliaji.
Kunielewa mimi unahitaji uwe umepitia Havard University!We jamaa wewe si ulisema spurs atamsimamisha city, kwa bla bla kibao, tukabishana hapa, nashukuru lugha ya soka imeongea.. city ni moto mwingine, daima usithubutu kuweka mapenz katika uchambuzi wa soka mkuu..
Pamoja.