EPL imekuwa ligi ya timu moja, If you can't beat them, Join them!

EPL imekuwa ligi ya timu moja, If you can't beat them, Join them!

U
Man City wana mabeki wa £ 200 ambao wamesajili msimu uliopita. Hapo ujaongelea kipa, viungo na washambuliaji.
Unaweza kuniambia kati ya Man City na Man U ni timu ipi yenye wachezaji wa gharama? Ni timu ilitumia pesa nyingi zaidi katika usajili msimu uliopita na huu unaoendelea. Nimeuliza hivyo kwa kuwa najua washabiki wa Man U kila kizuri huwa wanataka kiwe chao japo sina uhakika ww upo upande gani.
Majibu tafadhali!!!
 
We jamaa wewe si ulisema spurs atamsimamisha city, kwa bla bla kibao, tukabishana hapa, nashukuru lugha ya soka imeongea.. city ni moto mwingine, daima usithubutu kuweka mapenz katika uchambuzi wa soka mkuu..

Pamoja.
 
EPL imekuwa timu ya ligi moja tu tena Man City. Team zote kubwa zimepokea vipigo toka kwa Man City.

Kwasasa Man City pale EPL hana tofauti na PSG kwa Ufaransa, Bayern kwa Ujerumani na Juve kwa Italy. Yaani ligi za timu moja.

Makocha wote kuanzia Mourinho, Klopp, Wenger, Conte na sasa Pochetino wameshindwa kuwa na mbinu za kumsimamisha City.
Chelsea alikula 1.
Akaja Man Utd akala 2.
Arsenal akapigwa 3.
Spurs leo amedundwa 4.
Majogoo wa Liverpool akapigwa 5.

Ni wakati sasa wa kufuata kauli isemayo " If U can't beat them, join them " yaani kama umeshindwa kupambana nao, ungana nao!!

Povu ruksa...
Mkuu hata Mimi nimekubali ligi ya England tulikuwa tunasema ngumu kumbe hakuna ugumu wowote zaidi ya kuwa Na timu mbovu naona pep amekuja kudhihirisha hili huyu jamaa ni kocha wa sayari nyingine
 
Makamanda wawili wasiozuilika, mmoja ndani ya uwanja na mwingine nje ya uwanja.
JS130138225.jpg
Kevin hatari sana
 
We jamaa wewe si ulisema spurs atamsimamisha city, kwa bla bla kibao, tukabishana hapa, nashukuru lugha ya soka imeongea.. city ni moto mwingine, daima usithubutu kuweka mapenz katika uchambuzi wa soka mkuu..

Pamoja.
Kunielewa mimi unahitaji uwe umepitia Havard University!
 
Back
Top Bottom