EPL imekuwa ligi ya timu moja, If you can't beat them, Join them!

Kunielewa mimi unahitaji uwe umepitia Havard University!
Mkuu naona unataka kukimbia uhalisia kwa uwongo, meza tu matapishi, kubali tu kwamba uchambuzi wako ulifeli, sio dhambi..

Kwahyo unataka kuniambia thread yako ile ya city atafungwa na spurs, kisa sijui ana dm mmoja ambae fernandinho, oohh kisa spurs ana wachezaji wenye speed, dele, son, kane, sijui spurs hawez kupaki bus kama man u.. ina maana sikukuelewa na ulimaanisha vingine.. masihara haya.[emoji23] [emoji23] basi hao wenye akili za havard hawatokei dunia hii kama ulimaanisha tofauti na city kufa.[emoji23] [emoji23]
 
Man City wana mabeki wa £ 200 ambao wamesajili msimu uliopita. Hapo ujaongelea kipa, viungo na washambuliaji.
hajui kitu huyo jamaa katumia zaidi ya paundi milion mia kusajili beki tu maana msimu uliopita huko nyuma kulikua kunavuja hakuna mfanowe
 
Huu sio msimu wa kwanza Man City kuwa on fire ingawa kocha anastahili kupewa sifa ameleta kitu kipya, ligi ikiwa ya timu moja msisimko unapungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…