adamtupa92
Member
- Jun 29, 2016
- 27
- 24
- Thread starter
- #21
wanaonyesha, Everton Vs Spurs.Jamani hivi tv1 wataonesha au mbwembwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanaonyesha, Everton Vs Spurs.Jamani hivi tv1 wataonesha au mbwembwe tu
Anamkosea heshima. Unapozungumzia records tamu za heshima huwezi kumuacha Jose Mourihno, ni miongoni mwa makocha watano tu tangu ulimwengu uumbwe kuwahi kushinda European Cup na timu mbili tofauti ( Porto and Inter Milan). Mwaka 2010 he was named the FIFA World Manager of the year, usisahau pia aliwezesha Inter Milan kubeba "treble" na kuwa klabu ya kwanza in Italy kufanya hivyo (vikombe 3 katika msimu mmoja - SERIA A, UEFA na CLUB SUPER CUP). He archived a lot with clubs kubwa like Madrid, Chelsea, Inter, Porto.Mwambie dogo huyo.
Utakua wapi Mkuuhii game ya mwisho sijui nitaiwahi
Wadhani hilo hawalijui? maana vitu hivi havihitaji uwe na akili nyingi kuweza kujua rekodi ya kocha wanajitoa ufahamu kwa muda ili tubishane.Anamkosea heshima. Unapozungumzia records tamu za heshima huwezi kumuacha Jose Mourihno, ni miongoni mwa makocha watano tu tangu ulimwengu uumbwe kuwahi kushinda European Cup na timu mbili tofauti ( Porto and Inter Milan). Mwaka 2010 he was named the FIFA World Manager of the year, usisahau pia aliwezesha Inter Milan kubeba "treble" na kuwa klabu ya kwanza in Italy kufanya hivyo (vikombe 3 katika msimu mmoja - SERIA A, UEFA na CLUB SUPER CUP). He archived a lot with clubs kubwa like Madrid, Chelsea, Inter, Porto.
THE SPECIAL ONE.
Hata mimi kwenye swala la ufundishaji namkubali sana huyu jamaa,ila huyo jamaa anatumia pesa nyingi sana kwenye kusajili.Anamkosea heshima. Unapozungumzia records tamu za heshima huwezi kumuacha Jose Mourihno, ni miongoni mwa makocha watano tu tangu ulimwengu uumbwe kuwahi kushinda European Cup na timu mbili tofauti ( Porto and Inter Milan). Mwaka 2010 he was named the FIFA World Manager of the year, usisahau pia aliwezesha Inter Milan kubeba "treble" na kuwa klabu ya kwanza in Italy kufanya hivyo (vikombe 3 katika msimu mmoja - SERIA A, UEFA na CLUB SUPER CUP). He archived a lot with clubs kubwa like Madrid, Chelsea, Inter, Porto.
THE SPECIAL ONE.
vipi wamefungwa ??Hawa beki wa Leicester wanafanya makosa kizembe
Yah wamepigwa 2-1vipi wamefungwa ??
MkuuHata mimi kwenye swala la ufundishaji namkubali sana huyu jamaa,ila huyo jamaa anatumia pesa nyingi sana kwenye kusajili.
Wataonesha labda, tusubiri mudaJamani hivi tv1 wataonesha au mbwembwe tu
Loh,watetezi wameanza vibaya.Yah wamepigwa 2-1
Many thanks for the factsAnamkosea heshima. Unapozungumzia records tamu za heshima huwezi kumuacha Jose Mourihno, ni miongoni mwa makocha watano tu tangu ulimwengu uumbwe kuwahi kushinda European Cup na timu mbili tofauti ( Porto and Inter Milan). Mwaka 2010 he was named the FIFA World Manager of the year, usisahau pia aliwezesha Inter Milan kubeba "treble" na kuwa klabu ya kwanza in Italy kufanya hivyo (vikombe 3 katika msimu mmoja - SERIA A, UEFA na CLUB SUPER CUP). He archived a lot with clubs kubwa like Madrid, Chelsea, Inter, Porto.
THE SPECIAL ONE.