EPL kutesa tena UCL & UEL

Hahahahaha, ila Arsenal nao kibonde kweli,huwa hafiki mbali kwenye mashindano ya kiume kama haya ya UEFA CHAMPION LEQUE
Mimi ni Arsenal toka na miaka 10, aliyekwambia Mimi ni Liverpool fan nan? Japo wakati nakua nilikuwa napenda sana kuiangalia Liverpool hasa UCL , huwa wapo serious sana haijalishi wana kikosi imara au dhaifu linapokuja swala la UCL ni wanyama
 
Mimi ni Arsenal toka na miaka 10, aliyekwambia Mimi ni Liverpool fan nan? Japo wakati nakua nilikuwa napenda sana kuiangalia Liverpool hasa UCL , huwa wapo serious sana haijalishi wana kikosi imara au dhaifu linapokuja swala la UCL ni wanyama
Kwenye UEFA CHAMPION LEAGUE ARSENAL HUWA WACHOVU NA HAWAFIKI MBALI MARA ZOTE.
 
Mimi ni Arsenal toka na miaka 10, aliyekwambia Mimi ni Liverpool fan nan? Japo wakati nakua nilikuwa napenda sana kuiangalia Liverpool hasa UCL , huwa wapo serious sana haijalishi wana kikosi imara au dhaifu linapokuja swala la UCL ni wanyama
Wewe ni kigeu geu[emoji23][emoji23][emoji23] uko arsenal uku lakin moyoni uko Liverpool...
 
Huku kukariri kutawaponza.
UEFA haiwez enda tena EPL.
Inarudi laliga.
Km mnafuatilia mpira Real madrid inarud ktk ubora wake.
Sio ya kuibeza.
Barca wanachezeshwa kuzoea mfumo bila messi na wana manage jana kapigwa mtu tano.
Huyo Liverpool asikutane na mabingwa wa Spain Real ama Barca atachakazwa na kisasi kulipwa.
Time will tell.
Mngeona hao real wanavyokata mkaa ktk league sasa hv msingeibeza na hao barca usajili walofanya sio wa kubezwa.
 
Labda kwakua mpira unadunda otherwise we ndo unakariri kua laliga ndo uefa
 
Labda kwakua mpira unadunda otherwise we ndo unakariri kua laliga ndo uefa
Mkuu nakubali Real na Barca wameyumba sanaa misimu mitatu nyuma.
Lakini wacha nikwambie wanarudi mzee.
Hao watoto waliowasajiri na wanavyofanya uwanjani Yesu hapendi nikwambie tu.
 
Mkuu nakubali Real na Barca wameyumba sanaa misimu mitatu nyuma.
Lakini wacha nikwambie wanarudi mzee.
Hao watoto waliowasajiri na wanavyofanya uwanjani Yesu hapendi nikwambie tu.
Madrid huyu ambaye Jana alikuwa anaomba mpira uishe kwa Levante?
 
Madrid huyu ambaye Jana alikuwa anaomba mpira uishe kwa Levante?
Kashinda hajashinda??
Halafu madrid usiipime ktk laliga.
Hata kile kipindi misimu mitatu mfururizo alokua anachukua UCL laliga alikua anafungwa had na osasuna nje ndan ila Uefa watu walimkoma.
Madrid iacheni nyie haitabiriki aisee mm Barca lakin real mmh mmh hapana ile team iachen iweke historia zake hawaeleweki unaweza kuwachukulia underdog ila wakikukamata utaimba halelujah.
 
Mkuu nakubali Real na Barca wameyumba sanaa misimu mitatu nyuma.
Lakini wacha nikwambie wanarudi mzee.
Hao watoto waliowasajiri na wanavyofanya uwanjani Yesu hapendi nikwambie tu.
Bado sana uefa huenda kwa mzunguko bro, ligi fulani upepo ukiitembelea ndo mazima mpaka ukate, mfano 2004-2012 england timu zilikua moto baada ya hapo spain akatawala now 2018- naiona uingereza ikisumbua sana uefa japo haijalishi kubeba kombe
 
Bado sana uefa huenda kwa mzunguko bro, ligi fulani upepo ukiitembelea ndo mazima mpaka ukate, mfano 2004-2012 england timu zilikua moto baada ya hapo spain akatawala now 2018- naiona uingereza ikisumbua sana uefa japo haijalishi kubeba kombe
Mkuu hiyo Uingereza imesumbua hii misimu miwili ndio unaisifia???!!
Ndugu usikariri ya nyuma sijui masuala ya upepo.
Time will tell kaka tusije kukimbiana humu ndani we subiri.
Liverpool anatoka hatua ya mtoano round of 16.
 
Mkuu hiyo Uingereza imesumbua hii misimu miwili ndio unaisifia???!!
Ndugu usikariri ya nyuma sijui masuala ya upepo.
Time will tell kaka tusije kukimbiana humu ndani we subiri.
Liverpool anatoka hatua ya mtoano round of 16.
Kwani we huwezi kukimbia? Ama we tayari mungu unajua lijalo?
 
Kwani we huwezi kukimbia? Ama we tayari mungu unajua lijalo?
Mh umewaza mbali ambako siko kaka.
Wala sijasema hvyo ndio maana nikasema tusije "kukimbiana".
Nadhan hilo neno linatulenga sote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…