Mkuu, mpira it's all abt tactics na primary target ya kila timu ni ushindi no matter how. Kwa Leicester city kucheza vile ni moja ya mbinu ya mchezo walioamua kuucheza ili wapate matokeo. Na ndio maana kuna mifumo tofauti 4-4-2, 3-5-2, 4-5-1, 4-3-3 hiyo yote kuonesha kwamba kila mtu ana mfumo na mbinu tofauti kutafuta ushindi.
Tukirudi katika kukuza kipaji, ukishaingia premier league tuna kuregard wewe ni professional hatuna muda wa kukuza kipaji hizo ni kazi za academy. Kule kwenye senior team tunafundishwa tactics, the rest ni jitihada za mchezaj mwenyewe.
Kama utakua umecheza cheza mpira kidogo wa kufundishwa ukiwa mdogo utanielewa nini nimemaanisha. Mfano kwenye hizi academy zetu za kibongo bongo kama sigara, elite, tualipo na apex enzi zile za 2000-2010 walikua wanagrup vijana kwa age. Huko under 13 tulikua tunafundishwa skills mfano kupiga pasi, ball control etc. Ukifika kuanzia 17 mnaanza kufundishwa mifumo.
Sasa kama utanihakikishia kwamba team za epl hazina academy kwa ajili ya kukuza na kutunza kipaji nitaungana na wewe.