Ndalilo
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,343
- 7,516
Historia kama ipi? Nguvu ya pesa la liga Ipo kwa barca na Madrid epl nguvu ya pesa ipo kwa chelsea man utd na man city huoni bado EPL inatumia nguvu ya pesa zaidi?
Namaanisha, hizo cluba bora kabisa La liga, bila pesa zisingekuwa bora. Ukiangalia kama hizo ulizozitaja ndizo zinazonunua wachezaji kwa ada ya record za dunia, wachezaji wenye majina makubwa. Na ndio club pekee zinazotokea kwenye club tajiri 20 duniani kutokea La liga.
EPL zina club nyingi kwenye listi ya club tajiri 20 duniani. Lakini umeweza kuona, Leceister wamebeba ndoo bila kuwa kwenye hiyo listi, Spurs kang'ang'ana top four ilihali club tajiri kabisa duniani iko nafasi ya 5.
Kwahiyo, kwa lugha nyepesi, La liga ni pesa tu ndo itakuweka juu, tofauti na EPL ingawa ndio, kwa namna moja au nyingine, ligi zote, ili ufanye vizuri saaana, unahitaji pesa.
La liga, kwa miaka zaidi ya 10 sasa ni Madrid au Barca tu pale juu.