EPL: Man. United yashinda kibabe Od Trafford, Arsenal yashikwa na Fulham

EPL: Man. United yashinda kibabe Od Trafford, Arsenal yashikwa na Fulham

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
F4eDnHSXcAAK0aU.jpg
Dakika 4 za awali, Manchester United ilikuwa nyuma kwa magoli 2-0 dhidi ya NottinghamForest wakati Arsenal ilikuwa nyuma kwa goli 1-0 dhidi ya Fulham.

Hadi filimbi ya mwisho ya michezo hiyo ya Premier League, Man United imepata ushindi wa magoli 3-2 ikiwa nyumbani kwenye Uwanja wa Old Trafford wakati Arsenal imepata sare ya magoli 2-2 katika Dimba la Emirates.

Matokeo mengine ya ligi hiyo leo Jumamosi Agosti 26, 2023, AFC Bournemouth 0-2 Tottenham Hotspur, Brentford 1-1 Crystal Palace, Everton 1-1 Wolves.
 
Nyumbu anakwenda kula 4G ndani ya emirates.

Labda asajili wachezaji wawili wa kikosi cha kwanza
 
Back
Top Bottom