kuna msemo ukiona mtua anakandia kitu fulani juwa anakitamani sana,achane unafiki nyie ndo wa kwanza kuangalia mechi za epl, halfu mashabiki wa la liga ndo wakwanza kwa hiyo topic simuangalie ligi yenu kwan lazima ku compare na epl?mbona hamuizungumzi ligi one?acheni unafiki
utaelekea kubaya huko.mkuuKweli we utamu.
washabiki wa EPL ni kama nyumbu kufuata mkumbo. hawaangalii ubora.Pesa tunazo,ushindani tunao,umaarufu tunao we unafikiria azam ni wajinga waoneshe ligi isiyo na faida,mbona dstv wasiipe kipaumbele ligi ingine,epl ndo ligi yetu kaeni na ligi yenu.ndo maana wengine wanaamini mungu wengine hawaamini.mtaleta ubishi wa messy na ronaldo mwishowe.
mnatafuta kuungwa mkono,kila mtu na chaguo lake hata binaadam ana miguu miwili lakini kuvaa suruali lazima aanze na mguu mmoja.nyumbu tumechagua kuliwa na simba.tunawatakia la liga njema.washabiki wa EPL ni kama nyumbu kufuata mkumbo. hawaangalii ubora.
Pesa tunazo,ushindani tunao,umaarufu tunao we unafikiria azam ni wajinga waoneshe ligi isiyo na faida,mbona dstv wasiipe kipaumbele ligi ingine,epl ndo ligi yetu kaeni na ligi yenu.ndo maana wengine wanaamini mungu wengine hawaamini.mtaleta ubishi wa messy na ronaldo mwishowe.
always wanaume hutumia nguvu sio unacheza na timu kila ukiwakaba wachezaji kadi.mtuachie ligi tuipendayo.Achana na hao viwete wanaotumia manguvu uwanjani badala ya akili,Spain mambo yote! LA LIGA...MESSI OYEE
Huyu huyu Messi aliyewapiga Arsenal au Messi wa Azam mkuu??Unasema EPL ligi dhaifu mle Huyo Messi EPL tuone kama atatamba tatizo nikubebwa tu na marefa. Mimi n EPL ndio maana tunalipa dstv being mbaya tuioone hiyo yakuonyeshwa na Azam angalieni nyie
Huyu huyu Messi aliyewapiga Arsenal au Messi wa Azam mkuu??
Hahahahaha jamani imebidi nicheke tuuuHuyu huyu Messi aliyewapiga Arsenal au Messi wa Azam mkuu??
Unasema EPL ligi dhaifu mle Huyo Messi EPL tuone kama atatamba tatizo nikubebwa tu na marefa. Mimi n EPL ndio maana tunalipa dstv being mbaya tuioone hiyo yakuonyeshwa na Azam angalieni nyie
ndiyo maana wachezaji wazuri wakienda inawashinda. ni kama ngoma isiyo na stepu.EPL makelele mengi, mpira hakuna.... Angalia pattern ya mpria wa Uingereza hata haufurahishi, ni kupiga mpira mbele na kuanza kukimbiza na kufunga goli, hamna football skills kabisa....Next week Barca tutafanya party nyingine Emirates...kama kawaida yetu.. Mtu kama Rooney anapewa sifa nyingi kwavile tu ni mwingereza, lakini kiwango chake cha mpira ni cha kawaida kabisa. Kazi kwel kwel
HILO NDIO SOCCER AU FOOTBALL SIO SHOWOFF ZA UFUKWENI,ILE NIKAZI AISEEEPL ni ligi ya kipuuzi sana. Timu zote zina viwango sawa, viwango vidogo.
Bingwa mtetezi akikutana na Aston Villa matokeo hayajulikani watu wanakaa dakika 90 kusubiri. Ujinga kabisa huu.
Mpira umeanza kuangalia lini mkuuWaje EPL hao Barca na Real kama hawatachukua mtungo kama kawa.
akina ronaldo,wameweza tuleteeni hao walegevu wenu.ndiyo maana wachezaji wazuri wakienda inawashinda. ni kama ngoma isiyo na stepu.