Observer
JF HQ
- Oct 18, 2006
- 189
- 299
Harry Kane wa Tottenham Spurs, Alexis Sanchez wa Arsenal, Phillippe Coutinho wa Liverpool, David De Gea wa Manchester United, Diego Costa wa Chelsea na Eden Hazard wa Chelsea, wamechaguliwa kugombea tuzo ya mchezaji bora wa PFA Player of the Year Award kwa msimu huu.
Wewe unahisi nani anastahili kushinda tuzo hiyo kutokana na viwango walivyovionyesha msimu huu?
Wewe unahisi nani anastahili kushinda tuzo hiyo kutokana na viwango walivyovionyesha msimu huu?