Epuka kuandika matusi na maneno machafu kwenye Simu yako

Epuka kuandika matusi na maneno machafu kwenye Simu yako

Joined
Feb 11, 2023
Posts
96
Reaction score
182
Simu zetu Zinatunza kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.

Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhimu.

Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.

Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambi.

Tanga hamjambo?

Ikaja

Yanga hamjambi

Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk

Tuwe makini
 
Simu zetu Zina tunz kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.

Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhim.

Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.

Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambo.

Tanga hamjambo?

Ikaja

Yanga hamjambi

Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk

Tuwe makini
Nakuunga mkono
 
Simu zetu Zina tunz kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.

Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhim.

Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.

Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambo.

Tanga hamjambo?

Ikaja

Yanga hamjambi

Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk

Tuwe makini
Hivi unatumia text prediction ya kazi gani? Uvivu ndio unawaponzaga 🤣🤣🤣 zima
 
Simu zetu Zinatunza kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.

Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhimu.

Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.

Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambi.

Tanga hamjambo?

Ikaja

Yanga hamjambi

Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk

Tuwe makini
Kama mim kuna matusi buku
 
Kama mim kuna matusi buku
Screenshot_20230315-090527.jpg



Fanya hivyo mpenz wangu uepukane nayo..

Kama una iphone mimi sijui
 
Back
Top Bottom