Achapombe cha pombe
Member
- Feb 11, 2023
- 96
- 182
Simu zetu Zinatunza kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.
Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhimu.
Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.
Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambi.
Tanga hamjambo?
Ikaja
Yanga hamjambi
Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk
Tuwe makini
Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhimu.
Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.
Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambi.
Tanga hamjambo?
Ikaja
Yanga hamjambi
Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk
Tuwe makini