Achapombe cha pombe
Member
- Feb 11, 2023
- 96
- 182
Utajua SasaSasa kama nataka kuandika hilo tusi naandikia wapi zaidi ya kwenye simu
Nakuunga mkonoSimu zetu Zina tunz kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.
Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhim.
Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.
Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambo.
Tanga hamjambo?
Ikaja
Yanga hamjambi
Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk
Tuwe makini
Lazima kuanza na umakiniSasa kama nataka kuandika hilo tusi naandikia wapi zaidi ya kwenye simu. Ungewashauri watu kufanya editing ningekuona GT
Hivi unatumia text prediction ya kazi gani? Uvivu ndio unawaponzaga π€£π€£π€£ zimaSimu zetu Zina tunz kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.
Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhim.
Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.
Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambo.
Tanga hamjambo?
Ikaja
Yanga hamjambi
Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk
Tuwe makini
Kila mtu ana Elimu kama yako Mkuu tatizo watz wabishi sana toa hoja Mkuu usikurupuke tu.Hivi unatumia text prediction ya kazi gani? Uvivu ndio unawaponzaga π€£π€£π€£ zima
Kama mim kuna matusi bukuSimu zetu Zinatunza kumbukumbu na mara nyingi hukuletea maneno unayoandika kwamba kama ndilo uendelee na kuchapa sentence.
Ubaya hutokea pale unapoandika haraka haraka na kutuma sms au ujumbe Kwa wapendwa na watu wetu muhimu.
Hii inawakuta wengi wanapochapa maneno na kuletewa neno kama chaguo.
Kwa mfano ..unamtumia ujumbe mkweo. Hamjambo? Ikatokea hamjambi.
Tanga hamjambo?
Ikaja
Yanga hamjambi
Ukajikuta unakosana na ndg na jamaa zako. k nk
Tuwe makini
Kama mim kuna matusi buku
Asante sana sana.
Wewe umeanzisha mada unakataa kuhojiwa. Hayo matusi ni maneno yapo duniani kutumika. Sasa unapewa mbinu unaleta ubishi. Acha ushamba toa prediction kwenye simuSio
Kila mtu ana Elimu kama yako Mkuu tatizo watz wabishi sana toa hoja Mkuu usikurupuke tu.
Msiwe ma GT wa michongo bana
Nazichukia auto spelling/correction mno binafsi huwa naona zinanichelewesha naziturn offHivi unatumia text prediction ya kazi gani? Uvivu ndio unawaponzaga π€£π€£π€£ zima
Funga outo correction