Epuka na usikubali kushauriwa na watu hawa katika Ndoa/Mahusiano yako.

Epuka na usikubali kushauriwa na watu hawa katika Ndoa/Mahusiano yako.

Uko sahihi naandika kutokana na uzoefu hayo yote unayoyasema kuna mtu wangu yeye alikuwa kinyume chake, yeye ndo anakimbia kuomba ushauri kwa watu hao uliowaorodhesha sasa alichovuna huko ni aibu, cha ajabu sasa mbali na kulipuliwa na bomo bado yupo na tabia hiyo ni mtu ambaye hawezi kutatua matatizo yake ya mahusiano bila hao watu uliowaorodhesha inakuwa ni fedhea tu kila siku[emoji29]
 
Mkuu....
Hayo nilio yaandika nimeyaishi kwa miaka mingi chief, na kuna meengi tumejifunza ndani ya ndoa.
Lakini pia ndoa ama mahusiano meengi leo yameimarika baada ya kupitia changamoto na wengi wamedumu baada ya kukaa chini na kuzungumzia matatizo na tofauti zao.
Mimi nimeongea basics tu ....baada ya kujua kwanini wamama wanaishi muda mrefu kuliko wababa, sisi tunaambizana hamna kushirikisha watu ila wao ni kutoa ya moyoni kwa watu wao. Awe mzazi , rafiki au saluni... sisi tunayabeba hatimaye tunaishia kwenye ulevi, pressure na maradhi ya moyo....unaondoka unamuacha. Mimi naona njia ni mbili tu, jifunze kupuuzia pale tabia za mwenzako zinavyokuwa chronic au kumuacha kabisa ... kama huwezi na unamtaka utatafuta wa kumueleza akushauri hata akiwa stranger
 
1. Ikiwa unapitia changamoto yeyote, usije ukaomba ushauri kwa Ex kwasababu huyu atakushauri kwa kusukumwa na wivu ama hisia.
2. Jitahidi kuto mshirikisha rafiki wako wa karibu changamoto za mahusiano yako kwasababu, huyu ni rahisi kukushauri kwa kutumia hisia kwasababu atayabeba maumivu yako.
3. Baba na mama yako sio vizuri kumshirikisha changamoto zako kwasababu ni rahisi kukushauri akuongozwa na hisia na sio kuongozwa na akili. Na pia dam ni nzito kuliko maji.
Ushauri wangu ni huu.....
Kwa yeyote anaetaka kudumu kwenye mahusiano ama ndoa, kwanza anatakiwa awe msiri wa mambo yake binafsi. Na panapo tokea changamoto yeyote, jifunze kumaliza matatizo yako wewe mwenyewe ama na mwenzako. Sio vyema kuwashirikisha watoto wako, ndugu ama wanao kuzunguka maumivu yako.
Ikiwa utashindwa kuzikabili changamoto zako then fanya maamuzi ambayo wewe binafsi unaona yanakufaa na yatauponya moyo wako.
Good morning sunshine....🙋‍♂️
Good Morning to you.
 
Mkuu, huko kupuuza ndipo kunawaua wanaume wengi naw days, naomba nikushauri tena kwamba.... ikiwa utaona kama mambo magumu ndani ya mahusiano ama ndoa, tafadhali iache hiyo ndoa na kama ni mahusiano yaache yaende mkuu.
Using'ang'anie mahusiano ama ndoa inayo kuumiza.
Mimi nimeongea basics tu ....baada ya kujua kwanini wamama wanaishi muda mrefu kuliko wababa, sisi tunaambizana hamna kushirikisha watu ila wao ni kutoa ya moyoni kwa watu wao. Awe mzazi , rafiki au saluni... sisi tunayabeba hatimaye tunaishia kwenye ulevi, pressure na maradhi ya moyo....unaondoka unamuacha. Mimi naona njia ni mbili tu, jifunze kupuuzia pale tabia za mwenzako zinavyokuwa chronic au kumuacha kabisa ... kama huwezi na unamtaka utatafuta wa kumueleza akushauri hata akiwa stranger
 
Uko sahihi naandika kutokana na uzoefu hayo yote unayoyasema kuna mtu wangu yeye alikuwa kinyume chake, yeye ndo anakimbia kuomba ushauri kwa watu hao uliowaorodhesha sasa alichovuna huko ni aibu, cha ajabu sasa mbali na kulipuliwa na bomo bado yupo na tabia hiyo ni mtu ambaye hawezi kutatua matatizo yake ya mahusiano bila hao watu uliowaorodhesha inakuwa ni fedhea tu kila siku[emoji29]
Poleni sana mkuu...
Huyo jamaa yako ataishi maisha magumu sana na mwisho atajikuta amechelewa kufanya maamuzi sahihi kwa wakati sahihi kisha ataishia shimo la tewa
 
Ndo maana ndoa hazidumu. Kuna option ya X. Hii option haikutakiwa hata kuwepo kwenye list ya kuzuiwa. X akishakuwa X anapaswa kuwa kwenye dampo la taka la kudumu.
 
Kwa yeyote anaetaka kudumu kwenye mahusiano ama ndoa, kwanza anatakiwa awe msiri wa mambo yake binafsi. Na panapo tokea changamoto yeyote, jifunze kumaliza matatizo yako wewe mwenyewe ama na mwenzako. Sio vyema kuwashirikisha watoto wako, ndugu ama wanao kuzunguka maumivu yako.
Ikiwa utashindwa kuzikabili changamoto zako then fanya maamuzi ambayo wewe binafsi unaona yanakufaa na yatauponya moyo wako.
Maneno kuntu sana mkuu
 
Back
Top Bottom