Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Hatari sana. Unajua mambo mengine usijaribu kabisa ukadhani eti yanaweza kukusaidia. Mimi nina miaka 40 ukinicheck sababu nakula vizuri, mazoezi kiasi flani na pia sina mawazo. Unaweza dhani nipo 20s,30s. Sema tu utashtuka kwa madini nayotema.anyway hiyo siyo issue kwako.
Unamjua bwana mdogo Kipchoge? Mwanariadha aliyeweka kumbukumbu ya kukimbia kms 42 chini ya masaa mawili. ushamfahamu eeeeh? Ndo huyo sasa.
We mwenyewe mcheck. Unadhani ana umri gani?sema tu kwa mwono wako.wala haitakuwa so. Ana umri gani? Ha ha ha...huyo ni bwana mdogo tu sema ulaji wa kupitiliza wa cement na malimao ndo umemkausha hivyo. Sasa kwa taarifa yako ana miaka 34 tu. Wala Mstaafu kama unavyodhani kuwa atakuwa kwenye 60 Plus Plus huko.
Mcheck mwenyewe. Then ndo tujadiliane mambo kadhaa.
Jamaa inawezekana hata sperms hana. Atakuwa anatoa upepo tu. Kakausha mafuta yote na protein mwilini... Akitema atakuwa anatoa gesi/upepo tu. Sha sha shaa....sasa sperms unadhani atatoa wap?ikiwa anakula sement na kunywa juice ya limao. Uso kama babu.
Too much is harmful asikwambie mtu.
Unamjua bwana mdogo Kipchoge? Mwanariadha aliyeweka kumbukumbu ya kukimbia kms 42 chini ya masaa mawili. ushamfahamu eeeeh? Ndo huyo sasa.
We mwenyewe mcheck. Unadhani ana umri gani?sema tu kwa mwono wako.wala haitakuwa so. Ana umri gani? Ha ha ha...huyo ni bwana mdogo tu sema ulaji wa kupitiliza wa cement na malimao ndo umemkausha hivyo. Sasa kwa taarifa yako ana miaka 34 tu. Wala Mstaafu kama unavyodhani kuwa atakuwa kwenye 60 Plus Plus huko.
Mcheck mwenyewe. Then ndo tujadiliane mambo kadhaa.
Jamaa inawezekana hata sperms hana. Atakuwa anatoa upepo tu. Kakausha mafuta yote na protein mwilini... Akitema atakuwa anatoa gesi/upepo tu. Sha sha shaa....sasa sperms unadhani atatoa wap?ikiwa anakula sement na kunywa juice ya limao. Uso kama babu.
Too much is harmful asikwambie mtu.