Epuka utapeli wa mtandaoni unaoenea kwa kasi

Kuna mtu alinijia na sound takatifu nkasema hii sio kama D9 kweli... Hela zenyewe za mawazo
Hebu ona mmoja huyu

Good evening guys, I came to make a super ALERT against TRADE COIN CLUB, a multilevel system that is messing with the name of BITCOIN!
I was invited to invest in this "company", of course no one should invest in the dark, so I went to search for information, so I put it on Google, appeared sites talking badly about the company on the day marked where they would explain me better about TRADE COIN CLUB, they explained to me that I would get 50% of everything I came in (stirring up the profit of the crowd), I then asked why so many people complaining then I heard "If you only complain about blame!" Blockchaing¨ and use the name of bitcoin to promote themselves, the owner of TRADE COIN CLUB and DOVER BRAGA!
Searching the net I could find several processes, and complaints, and countless people deceived talking badly of Bitcoin, after all they were deceived, not even shot the reason of them! So people, let's denounce! Put your mouth on the trombone! LET'S NOT LET THE NAME OF OUR TAO BELOVED BITCOIN!
BITCOIN IS SOLUTION, NOT DESTRUCTION!
 
Hebu nitoeni tongo tongo juu ya hii kitu D9! Kuna MTU ameifagilia sana akidai inalipa vizuri kila wiki! Mwenye uelewa atujuze kama ni utapeli au LA!
 
Matapeli yana hoja za kufundishwa huko ili waweze kurudisha angalau nusu ya walizotapeliwa.
Watanzania fanyeni Kazi acheni kupenda urahisi hivi ushasikia nani katajirika kupitia upuuzi huu
 
Nimeona ipo haja ya kukujibu hatua kwa hatua, sio kwa maana ya ushindani, bali kufahamishana.


Ndicho kinachofanywa na tovuti hii pia. Ushahidi upo wazi kwa asiye mvivu kutafiti.

BtcClock ni tovuti inayoendeshwa na kampuni ya Lucky Times Ltd iliyosajiliwa Kemp House, 160 City Road, London, London, United Kingdom, EC1V 2NX mnamo 15th March, 2017.

Tupe majina ya board of directors na anuani zao halisi (sio virtual addresses).


Bitcoin mining sio rocket science. Inahitaji uwekezaji kwenye vifaa kama powerful processors na umeme. Sasa hebu onesha hiyo kampuni imewekeza nini mpaka sasa. Hosting ipi wanayofanya hawa? Hebu tuoneshe kama kweli wanafanya web hosting.


Affiliate commission ndio biashara kuu vinginevyo uthibitisje hayo hapo juu. Kwa kukusaidia tu, jaribu kutafuta Genesis bitcoin mining wakongwe wa biashara hii, uone ilivyo vigumu hata kurejesha tu mtaji wako. Hawa wanaotoa flat rate 3.84% hata wauza madawa ya kulevya hawawezi kukupa guarantee hiyo. Hiyo ni indicator ya fraud!

Mtaji wa kuendeshea biashara yao wanaupata kupitia hela zinazowekezwa na wanachama wao pamoja na hela zao wenyewe walizowekeza.

Labda useme kwamba kwa sasa wako kwenye steji ya kutafuta mtaji kutoka kwa wanachama maana kampuni yao mpaka sasa imewekeza mtaji sifuri!




Tukija kwenye suala la HYIP ulilolitolea mfano hapo juu, kwanza huo mfano hauendani kabisa na biashara hii kwa sababu biashara hii hailipi faida kiasi hicho kama ulivyoelezea hivyo si sahihi kuilinganisha biashara hii na mfano wako.

HYIPs zinakuja kwa sura mbalimbali, haziji zikijitangaza kwa mba ni HYIPs. Fungua macho.




Umedanganywa kwelikweli. Cryptocurrency mining haijaanza jana. Lakini ni ngumu sana kupata faida kwa sababu ya gharama za uendeshaji.


Nope. Wewe ndio biashara.


At your own risk people. Unapowekeza kwenye HYIP wekeza kiasi ambacho uko radhhi kupoteza.


Hujui jinsi ya kutambua hyips. Kila kitu kipo wazi.


Asante kwa maoni yangu. Ila ukweli umeupata. Kama wewe sio mtoto njoo sasa na constructive criticism hapa. I rest my case.
 

Attachments

  • upload_2017-7-1_11-1-7.png
    49 KB · Views: 52
Nasubiri hekima zako wiseboy.
 
aisee,,mi nimekuelewa vyema mkuu Nyenyere tatizo watu wanapenda sana easy money while there is no easy money in this world,,kuna matapeli wengine wanajiita biko wapo wanawapiga tu wajinga wajina
 
na hawa wanaojiita H2I Helping handsinternational international na wenyewe sio matapeli kweli!
 
Ujui usemacho hutaki watu wafunguke mawazo you are such a stupid man
 
Hahaaa dah mkuu taratibu bwana dah nimecheka sana aisee. For sure asiye ijua cryptocurency kwa ulimwengu huu ni ngumu kukuelewa na ndiyo maana hata mabank yamekuwa yakianza kujikanyaga kanyaga baada ya watu kugundua chimbo la cryptocurency. Maana hii ni njia ya kuua mabank kama ambavyo mabadiriko ya internet juu ya email kulivyo ua shirika la posta. Ni vile tu bado watz akili zimo kwe chungu ila wenzetu mbele bank zao zimeaccept bitcoin na wana ATM zake kabisa.
 
Mmmmhhh sasa kwanini wanasema watrade bitcoin.

Heri kuwa mkulima tuuu upatu kila siku majanga
 
Jaman nialipia hashflare.io kwa kutumia visa card yng lkn kule hashflare.io wanasema invalid purchase nan anajua njia ingene ya kulipa au mtu anaeweza tukakutana nkampa cash anilipie
 
Naomben mnisaidie ase na visa card yng iko enabled purchase online
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…