Epuka wanawake ili uishi Kwa furaha

Epuka wanawake ili uishi Kwa furaha

The next JPM

Member
Joined
Feb 22, 2023
Posts
22
Reaction score
46
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao itwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 23, lakn kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada,,
Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao itwa Wanawake.
Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.
Ee Kijana wa kiume zingatia haya
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 23, lakn kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Wakae mbali na wanawake ili wapige puchu au unawatakia nini wanaume wenzio? 071...😂😂😂
Au Kukaa mbali na wanawake kivipi? Mkae mbali na mama au madada zenu au ni aje?
 
Safi sana dogo......ukikua unaweza kulisaidia sana taifa....kwani hakuna mwanaume mwenyewe akili timamu anayewekeza akili na mali kwa mwanamke...

Cha maana ukikua tafuta mwanamke wa kuzaa naye (zingatia physical appearance na akili) akuzalie watoto na siyo vilaza na uendelee ku-enjoy ukisubir uzee 😋😋😋
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao itwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya
[emoji419] Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
[emoji419] Hakikisha una marafiki wachache wazuri
[emoji419] Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 23, lakn kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
[emoji35][emoji35] Kataa ndoa, chukua ndoa,[emoji35][emoji35]
Ioneni hii kenge ina miaka 23 na bado ipo nyumbani inataka itu shauri sie kaka zake tusioe,sasa wewe endelea kukaa hivyo hivyo bila kuoa na mpaka unajitegemea ishi hivyo hivyo bila kuoa,mnakera sana nyie vitoto na watu wazima mnao pinga ndoa,bila ndoa au bila baba yako kuwa na uhusiano wa mama yako wewe si ungeendelea kuwa kwenye kipande cha nazi au karanga,kenge wewe ushashiba chakula cha wazazi wako unaleta ujinga humu kibungo mkubwa wewe.

Au unataka uolewe watu wawe wana kupakua?
 
Ungeniambia badala ya kukazania wanawake,
basi tuzingatie katika masuala muhimu ili kufanikisha malengo basi ningekuelewa 👉kwani
👉 Kijana anayehitaji kufanikiwa, basi azingatie kazi na si ngono
👉Ngono isiyo salama, ni chanzo Cha nuksi,mikosi, chanzo Cha magonjwa.
👉Upotevu wa muda na nguvu
👉Tafuta pesa uishi ndani ya malengo, mipango na ndoto zako
👉Tafuta pesa usaidie wanaokuhitaji na wenye uhitaji kwenu
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao itwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 23, lakn kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Yule demu wa chuo kakutosa unaanza kulialia hapa 🤣🤣🤣
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao itwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 23, lakn kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
Kwanza avatar yako inaakisi demu bado anakutesa rohoni ila vumilia maana mm hata FaizaFoxy amenitesa sana ila nimemsahau 🤣🤣🤣
 
Kuna ukweli katika kitu anachokiandika dogo ila angetulia vizuri angeweza kutuandikia kitu konki zaidi. Hii ndo picha kwenye profile yake👇
1677669555002.jpeg


Meaning he is going through something. Em baada ya recovery uje tena utuandikie fresh, utatuletea kitu ambacho kiko vizuri zaidi😂😂😂
 
Habari wakuu hope ni wazima wa afya, pasi na kupoteza muda ni ende kwenye mada.

Ewe kijana wa kiume kama unataka kuishi maisha ya furaha, Raha, amani, na maisha marefu Kaa mbali na viumbe wanao itwa Wanawake.

Kama unataka mafanikio ewe mwanaume kataa ndoa, Wanawake ni matapel, wanawake hawafai, wanawake ni wabinafsi sana.

Ee Kijana wa kiume zingatia haya
📌 Hakikisha unapenda wazazi wako na ndugu zako wa kuzaliwa
📌 Hakikisha una marafiki wachache wazuri
📌 Hakikisha una uhakika wa chakula mezani
Kwa kufanya hayo utaishi maisha marefu ya Raha na furaha.

Mm badi ni Kijana mdogo sana nipo below 23, lakn kwa jinsi watu wanavyo post nyuzo mbalimbali juu ya wanawake
Nimejifunza kama mwanauma anataka awe na furaha basi awe mbali na Hawa viumbe wanawake
😡😡 Kataa ndoa, chukua ndoa,😡😡
you are just a boy, kwa sasa pambana kutafuta elimu kisha kipato, wanawake ni viumbe muhimu kumkamilisha mwanaume, all u need ni kuwa powerful enough kum control, power hyo iwe ni afya njema, uchumi stable na maarifa ya maisha. mwanammke atayeleta kichaa unamuweka pemben unachukua mwingine, huwez kjulia lia kisa kadem kamoja na una kila kitu as a MAN. ila kulazimisha mambo ndo kunaleta vilio, ukianza kuona mwenzako kabadilika shughulikia tatizo maisha yaendelee, kama yeye ndo tatzo mwonyeshe mlango wa kutokea, ila mwanamke ni muhimu kwenye maisha ya mwanaume,naturally.
 
hahahaahaha acha apelekewe moto na wengine wewe zamu yako imeisha.
Kuna ukweli katika kitu anachokiandika dogo ila angetulia vizuri angeweza kutuandikia kitu konki zaidi. Hii ndo picha kwenye profile yake👇
View attachment 2533739

Meaning he is going through something. Em baada ya recovery uje tena utuandikie fresh, utatuletea kitu ambacho kiko vizuri zaidi😂😂😂
 
Miaka 23 ndio nilikuwa kicheche balaa. Hapo ndipo nilipowajua wanawake na ikanisaidia sana kwenye kufanya maamuzi ya kuoa. Nachokiona kwako utaleft group la wanaume muda sio mrefu. Watakufirimba kinyeo muda sio mchache
 
Back
Top Bottom