Epukeni kuiga mapenzi, wala kufuata ushauri wa mtu, kila mtu ashinde mechi yake

Epukeni kuiga mapenzi, wala kufuata ushauri wa mtu, kila mtu ashinde mechi yake

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Kitu mapenzi haina formula;

Usisikilize ushauri wa mtu hata kama ni nani!
Fanya mapenzi yako kwa style yako!

Chimbuko kubwa la anguko katika mapenzi ni kufurahisha au kusikiliza maoni ya watu!

Ukipenda kusikiliza story za rafiki yako anavyochepuka ni rahisi sana kuchepuka! hivyo ACHA kusikiliza!

Chimbuko la ushoga kusambaa ilikuwa ni taarifa! Kadri mashoga wanasimulia wanavyotinduana ndivyo idadi ya mashoga inaongezeka! ACHA kusikiliza

Kama ilivyokuwa siku yako ya kwanza kufanya mapenzi ambavyo hukujua chochote hivyo ACHA kusikiliza mtu!

Kama wewe unapenda kifo cha mende usisikilize ya chuma mboga utaumia bure ACHA kusikiliza!

Kama unapenda katerero usisikilize ya pangu pakavu utapotea!

Hakuna bingwa wa mapenzi kwasababu mapenzi ni mtihani ambao kila mtu anaswali lake tofauti, USISIKILIZE JIBU LA MTU utafeli vibaya!
Usifananishe mapenzi ya rafiki yako na wewe kwasababu kila mtu ana mikato yake, ukifuatisha mikato ya rafiki unamuweka hatarini mpenzi wako kupendwa na rafiki yako, ACHA KUSIKILIZA
Kila mtu ashinde mechi yake, ukiendekeza kusikiliza ya watu HUTOBOI

Fanya mapenzi yako hata Mimi kama vipi usinisikilize vilevile!
 
Kitu mapenzi haina formula;

Usisikilize ushauri wa mtu hata kama ni nani!
Fanya mapenzi yako kwa style yako!

Chimbuko kubwa la anguko katika mapenzi ni kufurahisha au kusikiliza maoni ya watu!

Ukipenda kusikiliza story za rafiki yako anavyochepuka ni rahisi sana kuchepuka! hivyo ACHA kusikiliza!

Chimbuko la ushoga kusambaa ilikuwa ni taarifa! Kadri mashoga wanasimulia wanavyotinduana ndivyo idadi ya mashoga inaongezeka! ACHA kusikiliza

Kama ilivyokuwa siku yako ya kwanza kufanya mapenzi ambavyo hukujua chochote hivyo ACHA kusikiliza mtu!

Kama wewe unapenda kifo cha mende usisikilize ya chuma mboga utaumia bure ACHA kusikiliza!

Kama unapenda katerero usisikilize ya pangu pakavu utapotea!

Hakuna bingwa wa mapenzi kwasababu mapenzi ni mtihani ambao kila mtu anaswali lake tofauti, USISIKILIZE JIBU LA MTU utafeli vibaya!
Usifananishe mapenzi ya rafiki yako na wewe kwasababu kila mtu ana mikato yake, ukifuatisha mikato ya rafiki unamuweka hatarini mpenzi wako kupendwa na rafiki yako, ACHA KUSIKILIZA
Kila mtu ashinde mechi yake, ukiendekeza kusikiliza ya watu HUTOBOI

Fanya mapenzi yako hata Mimi kama vipi usinisikilize vilevile!
Bullshit [emoji23]
 
Back
Top Bottom